Kozo Akamoto; Nimewamiss sana wakongwe wenzangu

Kozo Akamoto; Nimewamiss sana wakongwe wenzangu

Kozo Okamoto

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2013
Posts
3,391
Reaction score
1,545
Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie farkhina, mchepuko wangu Valentina sijui kama bado yuko huko Arusha.

Mchawi Mkuu Mshana Jr. lete dawa ya corona fasta

Ni mimi ndugu yenu,
KOZO OKAMOTO (ONE STAR GENERAL)
MJAPANI WA KIKURYA.
 
Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie farkhina, mchepuko wangu Valentina sijui kama bado yuko huko Arusha.

Ni mimi ndugu yenu,
KOZO OKAMOTO (ONE STAR GENERAL)
MJAPANI WA KIKURYA.
Ameen. Tupo tupo wakongwe. Tunaendelea kupiga minyungu.
 
Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie farkhina, mchepuko wangu Valentina sijui kama bado yuko huko Arusha.

Mchawi Mkuu Mshana Jr. lete dawa ya corona fasta

Ni mimi ndugu yenu,
KOZO OKAMOTO (ONE STAR GENERAL)
MJAPANI WA KIKURYA.

[emoji3][emoji1545] nihakikishie haki miliki niiweke hapa
 
Back
Top Bottom