Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,545
Ameen. Tupo tupo wakongwe. Tunaendelea kupiga minyungu.Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie farkhina, mchepuko wangu Valentina sijui kama bado yuko huko Arusha.
Ni mimi ndugu yenu,
KOZO OKAMOTO (ONE STAR GENERAL)
MJAPANI WA KIKURYA.
Nimefarijika na uwepo wako mama. Kweli nyungu muhimu. Ila barakoa, social distancing na kunawa mikono ni muhimu piaAmeen. Tupo tupo wakongwe. Tunaendelea kupiga minyungu.
Karibu sana Fundi BishooAsante mkongwe
Mkuu,hilo ni bezo au cheko kwa "mwanamemba" wa JF?View attachment 1695213
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu,hilo ni bezo au cheko kwa "mwanamemba" wa JF?
Amani iwe kwenu! nimewamis sana wakongwe wenzangu. Nawasalimieni kwa hisani ya Corona. Naamini Mwenyezi Mungu atatuvusha kama ambavyo amekuwa akituvusha miaka yote. Nimekumbuka mapishi ya bibie farkhina, mchepuko wangu Valentina sijui kama bado yuko huko Arusha.
Mchawi Mkuu Mshana Jr. lete dawa ya corona fasta
Ni mimi ndugu yenu,
KOZO OKAMOTO (ONE STAR GENERAL)
MJAPANI WA KIKURYA.
Mkuu, natumia kila silaha iliyoko mbele yangu, cha msingi ni uhai tuMkuu ni kweli unajifukiza lakini bado masikio hayajashamiri mafusho.
Mkuu, sidhani kama unahitaji hati miliki.... Atakaye jaribu kuiga unamshughulikia moja kwa moja mkuu ahahahah[emoji3][emoji1545] nihakikishie haki miliki niiweke hapa