Belight Technology
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 583
- 124
wabongo hatuishi kulalama
hili ni fundisho na inafundisha jinsi ya kufanya kazi na wabongo,hawaishi kulalama,
1wasingepiga simu ungelalama
2.wamepiga simu umelalama
3.wangetuma sms ungelalama
4.wangetuma mtu kukupa taarifa ungelalama
nini ufanyiwe ili usilalamike?
wanipe hiyo kazi sitolalamika!!
on second thought, hata wangenipa hiyo kazi am sure mishahara yao ni mdogo sana na hauwezi tosha mahitaji yangu!!
sizitki mbichi hizi lol! vijana wa bongo.
on second thought, hata wangenipa hiyo kazi am sure mishahara yao ni mdogo sana na hauwezi tosha mahitaji yangu!!
hv kpmg wana dili na ishu gani hasa.