Shida yako kuu is that hujui kusoma, please interpret this diagram and then come back we discussWewe acha kuota ndoto za mchana! for three consecutive years top airlines in africa
1. Ethiopian
2. South african
3 Air Mauritius
4.Air seychelles
how many destiations mnazo za kufanya muwe wa pili???
Kama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa?KQ is great. I am a proud returning customer.
I would like you to post for us ATCL financial report. Apart from Ethiopia airline, show me any other airline that made profit from the list above. Then remember KQ losses come from its parking fee at JKIA, meaning if KQ and JKIA is combined like Ethiopia is doing then KQ will be the most profitable airline in Africa.Kama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa, stupid.
Vipi bro, hasira za nini?Kama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa, stupid.
ATCL inapaa hadi Oliver Tambo, tupo hadi Guangzhou na Mumbai.Wapi ATCL yetu?
Kwanini haipo kwenye top of the list.
Hizo zitakuwa ni data za mabeberu, zina chuki na Tanzania!
Akili za kiCCM hizi.
Imeuma kweli kweli. Umeona jina la Any Time Cancelation Ltd (ATCL)? Focus vizuri zaidi jombaa, utaliona tu. πKama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa, stupid.
ATCL iko namba 0. Ni kama tu hamna ndege. Ni magofu ama mlinunua betri?Kama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa, stupid.
Rwanda wamewashinda na Ni juzi tu wametoka Vita vya wenyewe kwa wenyewe.Kama ni chaguo namba mbili lakini inapata hasara kubwa, je ikiwa namba 4 na tano, si hata mishahara mtashindwa kulipa, stupid.
Huo ndio ugonjwa wenu, hamjui nini mnataka katika hii dunia, mbachoangali ni sifa za kijinga lakini hampati faida yoyote.Imeuma kweli kweli. Umeona jina la Any Time Cancelation Ltd(ATCL)? Focus vizuri zaidi jombaa, utaliona tu. π
Itaingiaje katika list wakati international route imeanza miezi miwili iliyopita, tena ni route moja, mwaka kesho November ndio unaweza kulinganisha.ATCL iko namba 0 Ni Kama tu hamna Ndege Ni magofu ama mlinunua betri?
Leo umekubali KQ inapendwaπππHuo ndio ugonjwa wenu, hamjui nini mnataka katika hii dunia, mbachoangali ni sifa za kijinga lakini hampati faida yoyote
1) GDP kubwa, lakini nchi haina uwezo hata kumalizia reli ya SGR bila mkopo
2)Idadi kubwa ya watalii, lakini "revenue ni ndogo inalingana na Uganda
3)KQ inapendwa, lakini hasara kila siku
Failed state.
Hauna Twitter evidence ya ATCL kufanya kazi?ππItaingiaje katika list wakati international route imeanza miezi miwili iliyopita, tena ni route moja, mwaka kesho November ndio unaweza kulinganisha.
Kwenu ninyi mnachotaka ni kutengeneza faida au ni kuwa chaguo la wasafiri hata kama mnapata hasara?