Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
ππππkapimwa makalio? Mtoa mada geuza ulaliwe should explain this.Soma hapa kidogo....
Tunajua binti kakosea lakin kitendo cha kuchokonolewa mpaka anashindwa kukaa vizurii si kizuri.
Watu wa haki za binadamu kazi yenu nini jamani mbona hatuwasikii ,yaan police panaonekana ni jehanam ukipelekwa kule sio salama.
Kutuaminisha Polisi ni mahali salama wakati hamzingatii ubinadam wa watu.
Binti mpaka anashindwa kukaa, kweli ya nini kumfanyia hivyo wakati video zipo ushahidi unatosha kabisa?
Sio muwasemee tu watu maarufu tu hata hawa wengine ikifika kwenye sheria angalieni mtu katendewa sivyo muongee pia mkemee. Angekuwa mtu maarufu zaidi nadhani kila uzi angeongelea lakin kwa vile binti hana hata uwezo wa kujisimamia mwenyewe basi kila mtu hajali.
Amber Rutty hakutakiwa hata sijui kupimwa makalio yake alitakiwa kupimwa akili yake.
Watoto wa kike wengi wanapitia hiyo hali kama Amber. Angalia hakuna hata mtu mmoja aliyekwenda kuwatolea dhamana ndio ujue binti anapitia mambo gani magumu ya kuishi mwenyewe.
Huwezi jua malezi aliyopitia mpaka sasa yupo hivi; tusimlaumu tu kwa nje hatuwezi jua aliyopitia mpaka yupo hivii.
Ni akili zake ndio zilitakiwa kupimwa binti hayupo sawa kiakili, sasa kuendelea kumuumiza sio vizuri.
Saa nyingine Polisi fanyeni na mambo ya kusaidia jamii sio kuumiza tu,, binadam ana haki zake sio mbwa yule
Yaan mpaka hatembei vizurii
Ni haki kweli???
kitendo walichomtendea dada yule haki sio kizuri. anashindwa hata kukaa na kutembea kwake ni kwa maumivu sanaππππkapimwa makalio? Mtoa mada geuza ulaliwe should explain this.
Hawa watu ni wanafiki. Wamekuwa hayawani. Kidogo utasikia wakisema ni wakenya walitekeleza hicho kitendo. They are so predictablekitendo walichomtendea dada yule haki sio kizuri. anashindwa hata kukaa na kutembea kwake ni kwa maumivu sana
i won't be surprised at all.Hawa watu ni wanafiki. Wamekuwa hayawani. Kidogo utasikia wakisema ni wakenya walitekeleza hicho kitendo. They are so predictable
Mkuu hiyo ni kweliAccording to confirmed reports for tonight's flight!
ππππ€£Hii ni hangover after drunken night. Wakifika January itabidi watoe quarter financial report. Hapo ndio mambo yatakuwa hadharani
wenye ndege zao wanakula bata wao wanahangaika na loss usiku na mchanaππππππHii ni hangover after drunken night. Wakifika January itabidi watoe quarter financial report. Hapo ndio mambo yatakuwa hadharani
Wacha waende mswaki kwanza, ndo uanaume! By next year I will be the first to report yearly financial result!Hivi kweli direct flight belakuwa na vituo kadhaa to newyork italipaje??