KQ Yaamua Kung'oa Viti na Kugeuza Dreamliner Zake Kuwa Ndege za Mizigo

Kafrican

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2015
Posts
7,251
Reaction score
7,037
Ndege za mizigo hazijapigwa ban na bado zinaruhusiwa kufanya kazi kimataifa, mwanzo wakati huu wa corona ambapo kila nchi inaagizia vifaa na madawa yanayohitaka kwa haraka, kuna demand kubwa sana ya safari za charterd cargo flights .

KQ inazo ndege ambazo ni spesheli za cargo lakini kwavile ndege zake za abiria zime kosa kazi, inabidi wazitafutie kazi ili angalau kampuni iweze kujistiri na mapato ya ndani (Internal revenue)









Ndege inayopeleka Mizigo ya dawa kutoka Nairobi na kuisafirisha hadi SA leo ilikua ni Dreamliner 787 ambayo iling'olewa viti vyote ili kuwezesha iwe inaweza kubeba mizigo minngi






 
Huku kwetu wangehalalisha cha arusha kiwe kinasafirishwa kwa bambadia zetu kuelekea kwenye nchi walizohalalisha uvutaji ili tukuze uchumi wa nchi.
Bomba dear ikitoka hapa na cha Arusha itatumia siku 2 kufika Canada na kurudi.

Naona mmekutana katika ubora wenu mpaka raha aisee...!

Bado Bujibuji sjamuona hapa sjui yuko wapi nae.

🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hii ni Dreamliner nyengine ambayo leo imebeba kilo 40,000 za mboga (Vegetables) kutoka Kenya kwenda UK

Mizigo ilijazwa kwenye sehemu ya kuokea mizigo na pia kwenye sehemu ya abiria ambapo kwasasa viti vimeng'olewa









 
Hii nzur huwez kununua kitu wakat kitu unacho ugonjwa ukiisha c watafunga tu vitu Safar iendelee Kwan Kuna abiria atakaegoma kupanda sababu iling'olewa viti
Sent using Jamii Forums mobile app
 
huh hata sikuwa nimeona hii thread, i posted another...haidhuru
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…