Huku kwetu wangehalalisha cha arusha kiwe kinasafirishwa kwa bambadia zetu kuelekea kwenye nchi walizohalalisha uvutaji ili tukuze uchumi wa nchi.Tena wamechelewa kuchukua hayo maamuzi.
Inapaswa wawe wanaenda na mirungi wanarudi na madawa. Ndani ya mwezi faida unajitengeneza taratibu.
Bomba dear ikitoka hapa na cha Arusha itatumia siku 2 kufika Canada na kurudi.Huku kwetu wangehalalisha cha arusha kiwe kinasafirishwa kwa bambadia zetu kuelekea kwenye nchi walizohalalisha uvutaji ili tukuze uchumi wa nchi.
Huku kwetu wangehalalisha cha arusha kiwe kinasafirishwa kwa bambadia zetu kuelekea kwenye nchi walizohalalisha uvutaji ili tukuze uchumi wa nchi.
Bomba dear ikitoka hapa na cha Arusha itatumia siku 2 kufika Canada na kurudi.
Bujibiji nasikia alikuwa mtangazaji nguli wa televisheni.Naona mmekutana katika ubora wenu mpaka raha aisee...!
Bado Bujibuji sjamuona hapa sjui yuko wapi nae.
🤣🤣🤣🤣🤣
Ndege za mizigo hazijapigwa ban na bado zinaruhusiwa kufanya kazi kimataifa, mwanzo wakati huu wa corona ambapo kila nchi inaagizia vifaa na madawa yanayohitaka kwa haraka, kuna demand kubwa sana ya safari za charterd cargo flights .
KQ inazo ndege ambazo ni spesheli za cargo lakini kwavile ndege zake za abiria zime kosa kazi, inabidi wazitafutie kazi ili angalau kampuni iweze kujistiri na mapato ya ndani (Internal revenue)
Ndege inayopeleka Mizigo ya dawa kutoka Nairobi na kuisafirisha hadi SA leo ilikua ni Dreamliner 787 ambayo iling'olewa viti vyote ili kuwezesha iwe inaweza kubeba mizigo minngi
Naona jamaa ameamua kujificha moja kwa moja..Huku kwetu wangehalalisha cha arusha kiwe kinasafirishwa kwa bambadia zetu kuelekea kwenye nchi walizohalalisha uvutaji ili tukuze uchumi wa nchi.