KQ yawaleta totoz wapyaa!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
HoooShirika letu limeamua kuboresha huduma kwa kutuletea totoz wapya hataree, wa cabin crew,kwa wasafir nguli wa angani kama sisi twawapa kongole kq.
 
mbona mmewachukuwa wanaojichubua ngozi?au wakenya wanawapenda wachuna ngozi.


swissme
 
Jamani na nyie watz tupieni kapicha walau kamoja na sisi tuoshe macho, (optical nutrition)kwa wadada wanaoserve karanga hapo ndani ya pangaboys airline!, sio kutuponda tu..hehe
 
Hongera hongerea kenya mnaUbnifu wa BIASHARA.... Siyo maTZ siye tuna ajiri matreka na makatapila kwenye ndege zetu !!! (samahani dada zangu nyie warembo nyumbani lakini ktk anga na biashara bora tukodishe panzi !!!
 
Wapunguze bei za nauli tuu, hao ma-chong ching, tuta watafuta wenywe mitaa ya kati.
 
Jamani na nyie watz tupieni kapicha walau kamoja na sisi tuoshe macho, (optical nutrition)kwa wadada wanaoserve karanga hapo ndani ya pangaboys airline!, sio kutuponda tu..hehe
Hahahaha.....
 
Tunataka real black Africans,na sio,sio yao mchanganyiko wa wachina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…