Labda tuna ma-engineer ucharwa wasioelewa trouble shooting na kuzikwamua ndani ya saa au siku moja...
Uki troubleshoot ukawaambia New Part inahitajika, wakati huo huo Management inaamini kwamba Amchines were made to last forever, watakuelewa??!?
Preventive Maintanance na Maintanance in general ni msamiati kwenye shughuli zetu za uongozi na utawala.
Nyumba tulizo zitaifisha miaka ya 70 hazikuwahi kufanyiwa ukarabati mpaka tulizo zirudisha kwa wenyewe.
Maghari ya serikali kamwe hayafanyiwi ukarabati ila ubabaishaji ili fedha za ukarabati ziingie mifukoni.
Barabara zetu hazifanyiwi ukarabati wa maana kwa sababu viongozi wanaamini zitadumu hadi siku ya kurudi Yesu Masihi.
Mabomba ya maji na pampu za maji pia hazifanyiwi ukarabati kwa kuamini kwamba hazitapata hitilafu wala hazitachakaa, na mara nyingi zikiwa katika hali hiyo ya uchakavu tumekuwa tukiziongezea mzigo wa kuzarisha maji zaidi bila kujali ushauri wa kitaalamu.
Ofisi za serikali, Hospitali na vifaa vyake Pantony.
Pia viongozi wanaamini kwamba hata wao waliwekwa hapo wadumu milele hawatakiwi kustaafu wala kuacha wengine wenye uwezo na upeo mpya waonyeshe CHECHE ZAO ZA FIKRA.