Semilong JF-Expert Member Joined Mar 5, 2009 Posts 1,711 Reaction score 220 Apr 18, 2009 #21 Sinkala said: Yeah, maybe zitakuwa zimeharibika kwa kuwa hazikuwa zinapumzishwa; zilifanya kazi usiku na mchana !!! Click to expand... wewe wacha uongo huku ulaya crane zinafanya kazi masaa 24 miaka nenda rudi na haziaribiki mpaka baada ya muda mrefu... wanazitumia mpaka wanaamua kubadilisha for safety reasons... uwo utakuwa mshipa walinunua.....
Sinkala said: Yeah, maybe zitakuwa zimeharibika kwa kuwa hazikuwa zinapumzishwa; zilifanya kazi usiku na mchana !!! Click to expand... wewe wacha uongo huku ulaya crane zinafanya kazi masaa 24 miaka nenda rudi na haziaribiki mpaka baada ya muda mrefu... wanazitumia mpaka wanaamua kubadilisha for safety reasons... uwo utakuwa mshipa walinunua.....
Semilong JF-Expert Member Joined Mar 5, 2009 Posts 1,711 Reaction score 220 Apr 18, 2009 #22 kumbe TPA wanavifaa na TICTS hawana kwa nini tenda isingekuwa ya TPA....