Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Wadau JF habari zenu.?
Napenda kutangaza kuwa kutakuwa na safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia tarehe 22 Desemba hadi 28 Desemba 2013,kupitia njia ya Machame (siku 7) hivyo kwa mtu yeyote atakayependa kupanda mlima huo na kula sikukuu ya Krismas juu ya mlima,tunaomba awasiliane nasi kwa maelezo zaidi.Gharama ni laki 3 na nusu za kitanzania (Ikijumlisha viingilio,chakula,guides,porters nk) Tumebakiwa na nafasi chache sana.Mawasiliano 0787140432.
Napenda kutangaza kuwa kutakuwa na safari ya kupanda mlima Kilimanjaro kuanzia tarehe 22 Desemba hadi 28 Desemba 2013,kupitia njia ya Machame (siku 7) hivyo kwa mtu yeyote atakayependa kupanda mlima huo na kula sikukuu ya Krismas juu ya mlima,tunaomba awasiliane nasi kwa maelezo zaidi.Gharama ni laki 3 na nusu za kitanzania (Ikijumlisha viingilio,chakula,guides,porters nk) Tumebakiwa na nafasi chache sana.Mawasiliano 0787140432.