NYIE VIJANA HUWA HAMSIKII. UNECHEPUKAJE BILA KONDOM?? PUMBAFF SANA WEWE. NAKUSHAURI TUMIA AMPICILLIN ILA UENDE NA ANGAZA WAKUPIME UKIMWI KWANI SIKU IZI MWENYE VIRUSI ANAYETUMIA ARV HUWEZI KUMHOFIA KWA LOLOTE.
ILA POLE SANAa
ahsante kasharobana japo ushauri wako umeambatanisha na matusi, sikuwa mjinga mpaka nisitumie condom. Condom nilitumia tatizo nilidribo kichwa kwenye k..sim wakati wa romance .
Hizo ni dalili za tezi dumeMficha maradhi kifo umuumbua. Tar. 25 dec kwangu imekuwa ya majanga baada ya kuchepuka na mchepuko huo kuniachia maradhi na niliamua kuchepuka baada ya mwandani wangu kwenda kula xmass kwao.
So jana nilihisi maumivu kidogo kwenye maungo yangu wakati nakojoa nikapuuzia lakini leo naona hii hali iko siriaz kila nikienda haja ndogo nasikia maumivu makali kwa ndani.
Najua humu ndani kuna wataalam wa masuala haya na ni maumivu tu wala hakuna usaa na labda naisi kichocho tu.
Nitashukuru sana kama ushauri utaendana (tiba) ni aina ipi ya dawa ya kutumia na itachukua mda gani? hofu ni kwa mpendwa wangu akinikuta ktk hali hii nategemea kujumuika pamoja siku ya mwaka mpya.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA USHAURI WENYE TIJA
Chief Pole Sana...Kama Ni Kweli! Bora Uwahi Hospitali Kwa Uangalizi Zaidi...Unajichoresha Bure Hapa Jf
Ahsante Jigo
Hakuna ugonjwa wa zinaa unaoweza kuleta madhara ndani ya siku 2..itakua ishu nyingine tu sema kwa kuwa imeambatana na uchepukaji ndo hofu yote hiyoo..nenda hospitali
Peleka uongo wako huko. Yaani hata mwendawazimu hawezi kukubaliana na wewe. Yani umeambukizwa maradhi hata siku haijaisha tayari umeshaona dalili? Kadanganye walevi wenzio mnaokunywa gongo pamoja.Mficha maradhi kifo umuumbua. Tar. 25 dec kwangu imekuwa ya majanga baada ya kuchepuka na mchepuko huo kuniachia maradhi na niliamua kuchepuka baada ya mwandani wangu kwenda kula xmass kwao.
So jana nilihisi maumivu kidogo kwenye maungo yangu wakati nakojoa nikapuuzia lakini leo naona hii hali iko siriaz kila nikienda haja ndogo nasikia maumivu makali kwa ndani.
Najua humu ndani kuna wataalam wa masuala haya na ni maumivu tu wala hakuna usaa na labda naisi kichocho tu.
Nitashukuru sana kama ushauri utaendana (tiba) ni aina ipi ya dawa ya kutumia na itachukua mda gani? hofu ni kwa mpendwa wangu akinikuta ktk hali hii nategemea kujumuika pamoja siku ya mwaka mpya.
NATANGULIZA SHUKRANI KWA USHAURI WENYE TIJA