Krismas imeniachia ugonjwa wa zinaa

Hakuna ugonjwa wa zinaa unaoweza kuleta madhara ndani ya siku 2..itakua ishu nyingine tu sema kwa kuwa imeambatana na uchepukaji ndo hofu yote hiyoo..nenda hospitali

inawezekana mkuu ugonjwa wa zinaa kwa mwanaume ndani ya siku mbili au tatu tayari ushaonekana sababu miili yenu hasa maumbile yanawahi kureact kama kuna kitu hakiko sawa ila mwanamke anaweza kaa hata mwaka ndo akaona dalili ndo mana wanaume wanajitibia mapema ila mwanamke mpk kujua ishamtafuna sana ndani!
 

Ndio magonjwa ya zinaa kwa mwanaume yanawahi kujionesha lakini si kwa siku 2,ameingia mdudu mmoja lazima azaliane mpaka wawe wengi ndo wawe na effect..siku mbili chache sana.
 
Nunua pilupili mbuzi Nusu kilo saga kisha loweka uume Wako Kwa dakika 25 na sekunde 40
 
Ugonjwa kwa wanaume huchelewa kujitokeza. Hatua ulizotaja huchukua muda kujionesha. Sidhani km thread hii ni valid.

!
!
dah....mdau mie nilichapa malaya kavu, loh kesho yake tu maumivu khisenge. Nikaenda kupima nikakutwa na gono, walitaka niende na demu nikawaambia nilitoka na malaya nikapewaa dawa. Kwa hiyo daah inawezekana mdau. Hatupimi ngoma kwa mengi.
 
Pole Kifimboplayer nenda kwanza hospitali huko ndo utapata majibu ya uhakika,humu utarushwa roho buree!
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Ugonjwa kwa wanaume huchelewa kujitokeza. Hatua ulizotaja huchukua muda kujionesha. Sidhani km thread hii ni valid.

nahisi huchukua siku 7 kuonekana, huyo wasiwasi wake tu, kakutana na maku yenye vumbi mpaka sikukuu ndio inapigwa analeta siredi hapa.
 
bora ungepata hata UKIMWI ili upunguze umalaya
 
wewe ni shujaa unapiga pmbu mchepuko kavu kavu una roho ngumu!!!! mkuu nenda hospital ukapate tiba sahihi na baada ya miezi mitatu ukapime VVU
 
Ugonjwa kwa wanaume huchelewa kujitokeza. Hatua ulizotaja huchukua muda kujionesha. Sidhani km thread hii ni valid.

Mh ugonjwa wa zinaa dalili kuonekana siku moja sidhani,labda ulikuwa nao siku nyingi. Cha muhimu nenda kamuone daktari ndugu. Cha muhimu zaidi mjulishe mkeo mkapime wote. Pia yawezekana wewe ndiye uliyemuambukiza mchepuko ugonjwa. Kifimbo Cheza

Poleni sana Vijana, ila kaa mkijua GONO alikoposhi hata 24rhs haifiki USAA LAZIMA UMWAGIKE.
 
Poleni sana Vijana, ila kaa mkijua GONO alikoposhi hata 24rhs haifiki USAA LAZIMA UMWAGIKE.

mkuu nilichojifunza kwa hili ni kuwa watu wamekariri ugonjwa gono ni kaswende na kisonono kumbe yapo mengi (pangusa, malengelenge nk) na inatagemeana na jinsia ndio maana wanashauri wewe na mwenza wako wote mpate tiba kwani kwa jinsia ya kike tu huwachukua mda mrefu zaidi kuliko mwanaume
 
Hongera kwa kuukwa. Usisahau kuandika mirathi mapema.
 
Ugonjwa kwa wanaume huchelewa kujitokeza. Hatua ulizotaja huchukua muda kujionesha. Sidhani km thread hii ni valid.

Mh ugonjwa wa zinaa dalili kuonekana siku moja sidhani,labda ulikuwa nao siku nyingi. Cha muhimu nenda kamuone daktari ndugu. Cha muhimu zaidi mjulishe mkeo mkapime wote. Pia yawezekana wewe ndiye uliyemuambukiza mchepuko ugonjwa. Kifimbo Cheza


Mkuu ni kweli ila ilo la kwako litakuw ala kukojoa usaha na hilo ni GONO na kawaida alikopeshi ni fasta masaa machache tu.
 
Haya magonjwa madogo madogo ingefaa yaundiwe program maalum..kila mtu apimwe na kupewa dawa yatokomezwe..yaani karne ya 21 mtu anaumwa gono ni mzaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…