Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Nipo Korogwe naelekea Bagamoyo. Gari nilizopishana nazo ni hatari, . Nilipouliza jamaa mmoja akaniambia ni za Wananchi wanaenda makwao kusherehekea Huko Uchagani kuna nini siku za Krismas na mwisho wa Mwaka?
Hoteli za njiani maeneo ya Korogwe hadi Mazinde zimefurika .
Hoteli za njiani maeneo ya Korogwe hadi Mazinde zimefurika .