We msambaa ulishindwaje kupiga picha misusuru? Au ulikua na mganga?Nipo Korogwe naelekea Bagamoyo. Gari nilizopishana nazo ni hatari, . Nilipouliza jamaa mmoja akaniambia ni za Wananchi wanaenda makwao kusherehekea Huko Uchagani kuna nini siku za Krismas na mwisho wa Mwaka?
Hoteli za njiani maeneo ya Korogwe hadi Mazinde zimefurika .
Wangese tu haoNipo Korogwe naelekea Bagamoyo. Gari nilizopishana nazo ni hatari, . Nilipouliza jamaa mmoja akaniambia ni za Wananchi wanaenda makwao kusherehekea Huko Uchagani kuna nini siku za Krismas na mwisho wa Mwaka?
Hoteli za njiani maeneo ya Korogwe hadi Mazinde zimefurika .
Ukishoboka au ukikaa kimya haina uhusiano na thread hii. Hujakatazwa kupost kwenye hii forum unachoona ni habari. Hata kule Serengeti kuna Nyumbu wanaripotiwa wanasafiri kwa misimu kwenda Kenya na Kurudi Tanzania, kwa mwenye akili timamu atataka kujua kwa nini,na siyo kuuliza kabila la hao Nyumbu.mnataka kwenye mitandao tuwaone nanyinyi mpo duniani mnajitangaza kwa nguvu ukimaliza wewe anakuja mwingine anaposti eti jamani kuna foleni yanaelekea moshi ili tu tuwashobekeeni kwendeni zenu washamba nyinyi na bahati nchi haijatawaliwa na mchaga tungesha kwa umaskini