KTN TV Vijimambo: Mbunge wa Tanzania atetea mirungi na bangi

KTN TV Vijimambo: Mbunge wa Tanzania atetea mirungi na bangi

waltham

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,522
Reaction score
1,045
Vijimambo: Mbunge wa Tanzania awavunja wengi mbavu bungeni


Anahoji misingi ya kuharamishi mairungi na bangi. naona kama yupo sahihi kwani serikali zetu haziwezi kutoa utafiti waliojikita katika shughuli ya kaharamisha mimea hii!!! Anadai wenzake wabunge wa Tz wanatumia hizi bidhaa kama kawa tu........
 
Vijimambo: Mbunge wa Tanzania awavunja wengi mbavu bungeni


Anahoji misingi ya kuharamishi mairungi na bangi. naona kama yupo sahihi kwani serikali zetu haziwezi kutoa utafiti waliojikita katika shughuli ya kaharamisha mimea hii!!! Anadai wenzake wabunge wa Tz wanatumia hizi bidhaa kama kawa tu........

Una support His sentiments?
 
Ni hapo mh msukuma mzee wa std 7...anapogeuka kituko kwa majirani zetu!...ni ujinga wa hali ya juu!
 
Back
Top Bottom