waltham
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 2,522
- 1,045
Vijimambo: Mbunge wa Tanzania awavunja wengi mbavu bungeni
Anahoji misingi ya kuharamishi mairungi na bangi. naona kama yupo sahihi kwani serikali zetu haziwezi kutoa utafiti waliojikita katika shughuli ya kaharamisha mimea hii!!! Anadai wenzake wabunge wa Tz wanatumia hizi bidhaa kama kawa tu........
Anahoji misingi ya kuharamishi mairungi na bangi. naona kama yupo sahihi kwani serikali zetu haziwezi kutoa utafiti waliojikita katika shughuli ya kaharamisha mimea hii!!! Anadai wenzake wabunge wa Tz wanatumia hizi bidhaa kama kawa tu........