KU BYPASS IPHONE 13

municaster

Member
Joined
Oct 17, 2022
Posts
7
Reaction score
4
Wakuu uwezekano wa ku bypass iphone 13 upo?

Inawezekana na kama inawezekana ni kama vile tunavyofanya zile nyingine?
 
Jambo unaloweza kuhakikishiwa kuhusu bypass iphone kutoka kwa mafundi,ni iphones ambazo zimeishia IOS 14 kushuka,juu ya hapo inategemea aina ya simu na update.
Kwa 13 ninachoweza kukwambia ni kama haiwezekani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…