Ku "Do" huwapunguzia wanaume miaka ya kuishi..... punguzeni! -UTAFITI

Sorry just passing by... Maana this MAN of mine nikimpa hii report atadai haijaandikwa na marijali....
Shem bana..... hebu msome huyu agemate wangu hapa chini mwenye msimamo kama wangu na wa mmeo.

 
Halafu kwa wanawake wanawahi kuzeeka.
Siyo kweli.
Kinyume chake- Mwanamke anayepata sex dose nzuri huongeza miaka ya kuishi, huwa na furaha na amani, hana stress na pia muonekano wake huwa mzuri zaidi.Ngozi yake hung'aa!
 

1. Kazi kwako wewe unaoleta yatokanayo na utafiti wenye perhaps.....utafiti kazi yake kuondoa neno perhaps kwenye existing body of knowledge. Thus perhaps hii nayo ni perhaps nyingine........

2. Life expectancy ya wanawake na wanaume kwa topic yako c valid ilitakiwa ya wanaume wanaofanya versus wasiofanya

My take; Analysis yako imekupelekea kwenye wrong conclusion n thus no recommendations can be deduced from
 

Pole sana kwa kuguswa hasi.Huo utafiti siyo wangu kama utakavyoona.
I was just sharing what i found na kuchombezea kunogesha mada.Siyo lazima ukubaliane na kilichoandikwa au nilichosema.
After all, hapa tunashirkishana, na kuchangia unavyopenda.Hatuko kwenye Scientific Conference au "Viva for PhD" au defence ya thesis yoyote.
 
Inawezekana kuna ukweli; nchi ambazo wanaume hawako active sexually life expectancy yao iko juu; tofauti na Africa

Big house!!!

I beg to differ......ts not only confined to one factor. High life expectancy ni product ya mchanganyiko wa wa mambo mengi sana na huanzia tangu kutungwa kwa mimba na abstinance haijawahi kuwa sababu ya kuongeza umri wa kuishi

I stand to be corrected
 

Oonh sorry kaka kama lugha haijaakisi maana yangu I only meant to criticize the research done broda......I appreciate information sharing as u did but as thinkers we have the role ya kuchuja info kaka. Once again m sory as I ddnt mean to personalize you with the findings
 
nice research for academic purposes; could be used for family planning in future probably; not applicable in real life...
 
Tafiti zingine ukizifuatilia unaweza ukafa kwa mawazo.
... Bora liende bwana aaai !
 
Mmmh! Sina uhakika, kuna washkaji nawafahamu wao kila siku wanapiga game, mbona hawafi sasa? Kwanza ndio wana afya na wanang'aa kama nini?

Si kila mtu anaibuka na lake tu japo wanadai kuna research ila percent ya ukweli ni ndogo sana
 
Jipe moyo........utashinda....vumilia..yatakwisha...
 
Ku Do Kunako mpunguzia Mwanamme kuishi ni Ku do kwa kila siku nakubalina na wewe ikiwa kama wewe una shemeji (bwana au mume wako )Ana do na wewe kila siku basi kuna uwezekano yeye huyo mume wako kuwa na umri mfupi na kuzeeka

haraka iwezekavyo. Lakini ikiwa kama atakuwa ana Do kwa kila wiki mara 3 itakuwa kwake huyo mume au Mwanamme yoyote yule atakuwa na Afya na umri mzuri. Na katika siku hizo Tatu inatakikana awe ana Do kwa

siku mara moja isiwe tena aka Do Mchana na usiku wake hivyo itakuwa pia sio nzuri kiafya aki do mchana usiku asi do tena na apumzike baada ya siku 2 siku ya 3 anaweza tena aka do, kwa hali hiyo itakuwa ni vizuri kiafya. Je sisi Wanaume tutaweza ku do kwa wiki mara3? Nauliza Swali hilo?naomba nipatiwe jibu asanteni.
 
hv si ndo hawa hawa wamekuja na findings ktk research zao kua ARVs zinazuia ukimwi na kutibu ikiwezekana mtu anaetumia hawez muambukiza mwngne!
Wkt ktk uhalisia usiombe upewe virus na mtu anaetumia hzo karanga uchukui round
Washenz kwel hawa vp kuhusu wafalme wa zaman au kwa sasa wnye wake weng?
 
Uzi huu waniongezea ashiki zaidi.
Pole zao wasio wazima
OTIS
 
Research nyingine bana siziamini kabisa
Sijaona mahali walipotoa mfano .. kama padre anaishi miaka mingi kuliko baba mwenye mke na watoto . ...

Research mpaka waweke kwenye trial ndio watoe hiyo conclusion... na itachukua miaka na miaka ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…