I apologize in advance if this is no the right forum for this topic. Perhaps if the mod agrees with me, it can be replicated to other forums.
Nigependa kuwaomba wana-JF Ikiwa ni lazima kunukuu, jamani tusinukuu posting nzima over and over, ina tulazimisha kuscroll kila wakati, halafu ukija kugundua mtu anaongelea kisehemu kidogo tu.
Afadhali kunukuu kisehemu unacho ongelea, mtu akitaka atarudi mwenyewe kusoma original article, lakini watu wawili/watatu waki quote post kubwa on the same page ya same thread inakuwa hata haivutii tena.
Ni maoni yangu tu. Ahsanteni.
Nigependa kuwaomba wana-JF Ikiwa ni lazima kunukuu, jamani tusinukuu posting nzima over and over, ina tulazimisha kuscroll kila wakati, halafu ukija kugundua mtu anaongelea kisehemu kidogo tu.
Afadhali kunukuu kisehemu unacho ongelea, mtu akitaka atarudi mwenyewe kusoma original article, lakini watu wawili/watatu waki quote post kubwa on the same page ya same thread inakuwa hata haivutii tena.
Ni maoni yangu tu. Ahsanteni.