Habar wakuu mm niliahirisha masomo mwaka jana pale SUA kwa mwaka mmoja na sasa nataka kurudi tena sasa naomba kufahamishwa utaratibu wa ku resume mkopo wangu pale ninaporudi mwezi wa kumi nilipata mkopo kwa asilimia mia nilikuwa nasoma vet medicine.
Natanguliza shukrani wadau.