Ku-top up mkopo

Ku-top up mkopo

Holly Star

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2018
Posts
4,327
Reaction score
8,142
Aisee bank wezi sana. Mwezi wa 7 nlikopa CRDB milion 20 kwa mkopo wa miezi 36 ambapo kuna riba ya 4 miln.

Nikaenda kufanya ujenzi Mwanza. Sasa bana nikapata dharura inayohitaji hela kama 3 miln, nikataka kutop up.

Aisee nilitakiwa kurudisha 7 Milions maana riba ni milion 4+ nikauliza afsaa wa bank huu wizi nikaondoka.

Sasa walimu wanatop up kila mwaka.
 
Kama hujui, Top up ni kama unakopa mkopo mpya, ile hela yako unayopata unalipa mkopo existing kisha kinachobaki ndio unapewa
 
Nyoosha maelezo riba ya mkopo wa 20 millions ilikuwa milioni 4 ukaja Tena kuomba milioni 3 ikatakiwa urudishe 7 millions Kama sehemu ya riba au?
 
Mikopo isikie tu
20221220_163612.jpg

😀😄
 
Nyoosha maelezo riba ya mkopo wa 20 millions ilikua milioni 4 ukaja Tena kuomba milioni 3 ikatakiwa urudishe 7 millions Kama sehem ya riba au?
Alitaka tu kuwasema walimu.
Hii ni chai kama chai zingine
 
Back
Top Bottom