Kuacha Kazi Serikarini na mkopo

Kuacha Kazi Serikarini na mkopo

Inawezekana na ni jambo la kawaida sana.

Wanachotaka benki ni marejesho yao tu. Hivyo, waandikie barua namna watakavyokua wanapata marejesho yao ya kila mwezi.

Ni vyema kutafakari kwa kina uamuzi wa kuacha kazi kabla ya kuamua kuacha kabisa. Fanya upembuzi yakinifu kujiridhisha kwamba, jambo unalotaka kufanya litafanikiwa kwa asilimia kubwa. Pia uwe umeandaa Plan B tayari ikitokea plan A imefeli.

Mwisho, ni vyema kujiridhisha katika maamuzi yoyote (kuendelea kuajiriwa/kuacha kazi) kabla ya kuweka maamuzi hayo kwenye matendo.

Nawasilisha.
 
Unaweza pia kwenda benki ukawaeleza kusudio lako.

Cha kujua tu ni kwamba assume umeachishwa kazi na mwajiri ambae ndiye kakudhamini. Unafikiri nani angelipa mkopo? Ni wewe wewe. Alichofanya mwajiri ni kukidhamini kwa maana ya kukata mshahara wako kwa ajili ya benki.

Hivyo, kinachotakiwa na benki ni uhakisia wa namna gani itaendelea kulipa marejesho yao. Hilo ndilo wanalotaka.
 
Kwanini unawaza kuacha kazi alafu usisumbuliwe na watu wa benki mkuu? Unataka ukiacha kazi alafu marejesho ya fedha za watu iwe Basi?

Usijiruhusu mawazo mabaya mkuu. Uliomba mkopo ukiwa na shida fulani na pengine mkopo huo ulikusaidia Sana Sasa umesahau unaomba akili ya kuukimbia mkopo. Si sawa mkuu. Weka mikakati ulipe pesa za watu.

Ndani ya nafsi yako jitahidi sana uwe msafi mkuu. Itakulipa siku moja amini nakwambia
 
Kwanini unawaza kuacha kazi alafu usisumbuliwe na watu wa benki mkuu? Unataka ukiacha kazi alafu marejesho ya fedha za watu iwe Basi?

Usijiruhusu mawazo mabaya mkuu. Uliomba mkopo ukiwa na shida fulani na pengine mkopo huo ulikusaidia Sana Sasa umesahau unaomba akili ya kuukimbia mkopo. Si sawa mkuu. Weka mikakati ulipe pesa za watu.

Ndani ya nafsi yako jitahidi sana uwe msafi mkuu. Itakulipa siku moja amini nakwambia
Mkuu nahitaji kujua sheria inasemaje Kwa kile nachohitaji kukifanya
 
Mpaka hapo umeshafeli, unataka kuacha kazi halafu unafikiria kusumbuliwa na ulio wakopa? Sasa huku kitaa ndio ispime kuna usumbufu wa kila aina lkn wanaume tunakomaa. Nakushaur ubaki hukohuko
 
Mpaka hapo umeshafeli, unataka kuacha kazi halafu unafikiria kusumbuliwa na ulio wakopa? Sasa huku kitaa ndio ispime kuna usumbufu wa kila aina lkn wanaume tunakomaa. Nakushaur ubaki hukohuko
Mbona ww umeweza kukomaa au unafikiri anakuja kufanya biashara unayofanya akuzidi maisha make binadamu nao hatupendi maendeleo ya wengine.
 
Usiache kazi km miradi haijasimama bado
Hana mda na msimamizi wa kusimamisha biashara iyo ndo maana ameamua kwenda kuifanya yy mwenyew, na kwann umpe mtu mamilion ya ela ajifunzie biashara na kukutia hasara illhali unawezo wa kufanya jamb hilo.
 
Nilichogundua kwenye mitandao chukua hatua kwanza baadae ndo uje uombe ushauri ya kuongezea, mitandaoni kuna watu tofauti tofauti,kila mtu atakushauri kulingana alivyo na Hali ya maisha yake, maskini atakushauri kimaskini tena anakukatisha tamaa ili mlingane, tajiri atakushauri ili usimzidi aendelee kupata zaidi yko
 
mikopo y utumishi ina bima,
hautafatiliw,
mm nimeshaacha kazi,
nna aman n michongo inasonga
 
mikopo y utumishi ina bima,
hautafatiliw,
mm nimeshaacha kazi,
nna aman n michongo inasonga
Kaka nipo kwenye posittion yako.. nataka kubwaga, uliandika barua au ulichikikchia tu kimya kimya mpaka walipositisha mshahara? nimelipa 4 years of the 7 years i took.. ila nishapata mchongo nje ya serikali nataka chimba kimoja
 
Back
Top Bottom