Jamani Mimi ni mtumishi Wa halmashauri na mshahara wangu, pia nafanya Biashara amba inanilipa sana na kama nikiwekeza nguvu na muda wangu wote huko naamini in five years ,umasikini kwangu utakuwa historia.
Ila kila ninapoomba support kutoka kwa familia including my wife ili niache Kazi na kuendelea na Biashara hakuna anayeniunga mkono,Mke ndo anakuwa mkali kweli,mama anasema nisije muuwa kwa presha.
Deep in my heart najua kabisa for sure utumishi huku kwa local government ni kuendeleza tu chain of poverty unless uwe mwizi.
Naomba ushauri nifanyeje