Kuachwa na your/my first love -vs- umri

Teamo

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2009
Posts
12,271
Reaction score
1,052
habari zenu mabibi na mabwana??....
vipi mnashiriki walau mlo milo mitatu kwa wiki na familia zenu?
vipi mmeona matokeo mazuri ya hiyo kanuni?.....
ahsanteni sana mabibi na mabwana...

STRAIGHT KWENYE HOJA!...(chakachua nikufabriketi..)

ZINGATIA MAZINGIRA YA MIFANO IFUATAYO (kwa makini tafadhali)
mfano wa kwanza
-katika umri wake wa miaka 22,teamo aliachana na mpenzi wake aliye dumu nae kwa miaka 6 yenye
-mapenzi moto moto
-a lots of dreams and ambitions
-a lots of promises
-teamo kwa kumuheshimu mpenzi wake aliamua,,bila kushurutishwa kuikubali hoja ya NO SEX BEFORE MARRIAGE,na aliisimamia hiyo kwa kuuheshimu mwili wa mpenzi wake (mke mtarajiwa
)

sasa pasi na sababu yoyote,yule binti aliamua tu KUONDOKA,tena without saying goodbye,wala bila kuweka wazi sababu za kuondoka.yaani after so many SWEATING alimsababishia TEARS!KWA VYOVYOTE TEAMO ALIUMIA SANA TENA SANA KWA KUACHWA NA MPENZI WAKE

mfano wa pili
-akiwa na umri wa miaka 32,asprini huyu huyu wa jf...KATIKA BARABARA NA VIGEZO VILEVILE TAJWA HAPO JUU,aliachwa na limupenzi lake...!yani angalia mazingira yale yale ya teamo lakini talking of asprin at HIS 32YRS OLD ALIACHWA NA MUPENZI WAKE...KWA VYOVYOTE ASPRINI ALIUMIA SANA TENA SANA KWA KUACHWA NA MPENZI WAKE

STRAIGHT KWENYE SWALI LANGU SASA

MAUMIVU YA KUACHWA NA ''YOUR/MY FIRST LOVE'' -vs -umri

JE,KUNA MAZINGIRA YOYOTE YA KUTOFAUTIANA KWA MAUMIVU HAYA KWA KIGEZO CHA UMRI?


ahsanteni sana.

ANGALIZO:hiyo hapo juu ni mifano tu,maumivu yanawahusu watu wa jinsia yoyote ile
 
Kuachwa kuachwa kuachwa ni shughuli pevu usiombe yakukute INAUMA SI MCHEZO HAKUNA CHA UMRI MAUMIVU NI SAWA TU
 
STRAIGHT KWENYE HOJA!...(chakachua nikufabriketi..)


-

mfano wa pili
-akiwa na umri wa miaka 32,asprini huyu huyu wa jf...[/QUOTE]


Babu tafadhali kanusha madai haya upesi na ukikaa kimya tutashtukia jambo
 
STRAIGHT KWENYE HOJA!...(chakachua nikufabriketi..)


-

mfano wa pili
-akiwa na umri wa miaka 32,asprini huyu huyu wa jf...


Babu tafadhali kanusha madai haya upesi na ukikaa kimya tutashtukia jambo[/QUOTE]
nasikitika kwamba hujui maana ya MFANO...
 
Kuachwa ni kuachwa,kama mtu ulimpenda,ukamweka kwenye akili yako na pengine ukafikiria future nae lazima uumie haijalishi una miaka mingapi au hata umeachwa mara ngapi????Moyo ni ule ule,haugeuki kuwa jiwe umri unavosogea.......

Kinachotakiwa ni kujipa moyo na kusonga mbele ukimuomba Mungu pia,yawezekana hukupangiwa hao uliokutana nao wakaondoka.😛lane:
 
Mimi nilidhani kwamba kwa mtu ambae ana umri mkubwa kidogo ''akiachwa'' hataumia sana ukilinganisha na yule mwenye umri mdogo....

Mimi nilidhani kwamba yule mwenye umri mdogo anaumia zaidi kwakuwa anaendeshwa na hisia zaidi....
 
habari zenu mabibi na mabwana??....
vipi mnashiriki walau mlo milo mitatu kwa wiki na familia zenu?
vipi mmeona matokeo mazuri ya hiyo kanuni?.....
ahsanteni sana mabibi na mabwana...



Nimeipenda hii kwanza....kwa pilika zetu ambao muda mwingi mchana tuko kazini hili la milo mitatu siku za kazi ni gumu.

Ila milo miwili yaani wa usiku na asubuhi ndilo huweza kulifanya kwa mafanikio huku mchana ikishikwa na pilika za mume kazini, mke kazini na mtoto/watoto shuleni



Back to Topic

Ni kweli maumivu na umri vinaendana...

kwa mfano mtu mwenye umri wa miaka 22 kama mfano wako maumivu yake ni mkubwa lakini sio sawa na mtu mwenye, say miaka 37. Sababu ni nini, huyu mwenye miaka 22 bado anajua anao umri wa kumtosha kuweza kukaa na kutulia na kujipanga tena hata kuja kupata mwenza wake wa maisha. Miaka 22 bado ni kijana mbichi na wakati wowote kwake ni rahisi kupata binti chini ya umri wake na kuanza nae mahusiano mapya

Kwa MTAZAMO wangu ugumu huanza kama kuachwa kutatokea kwa mtu mwenye miaka zaidi ya 30 na ambae tayari alishaweka mambo kwenye pipe na kuwa tayari kumuoa au kuolewa na mwenza wake
.

Lakini pia MTAZAMO wangu unanisaidia kufahamu ya kuwa wanaoathirika zaidi ni ladies wakiwa kwenye umri mkubwa zaidi hata ya wanaume
 
Babu tafadhali kanusha madai haya upesi na ukikaa kimya tutashtukia jambo
nasikitika kwamba hujui maana ya MFANO...[/QUOTE]

Nimekupata T....ila naogopa...mifano mingine inaweza kumfanya bibi akashtuka na kusearch Wikileaks..Babu atapata utata hapo..hahaha
 
ahsante sana!....

kwa hiyo conclusion ni kwamba yule wa 22yrs na yule wa 32 yrs ikitokea wote WAKAACHWA NA WAPENZI WAO WA KWANZA MAUMIVU YATATOFAUTIANA,si ndivyo?

sasa kwa kifupi niambie ni nani anaumia zaidi?
 
Regardless ya umri, kwa kweli kuachwa kunauma sana. Mapenzi, mapenzi, mapenzi, si vijana wadogo, watu wazima na hata wazee wanalia na kuuana juu ya mapenzi. Je mapenzi ni kitu gani ma Great Thinkers????
 
Mimi nilidhani kwamba kwa mtu ambae ana umri mkubwa kidogo ''akiachwa'' hataumia sana ukilinganisha na yule mwenye umri mdogo....

Mimi nilidhani kwamba yule mwenye umri mdogo anaumia zaidi kwakuwa anaendeshwa na hisia zaidi....

Inategemea Teamo,kama yule mwenye umri mkubwa alimpenda kweli yule aliyemwacha lazima ataumia tena yawezekana zaidi, ila kama alikuwa nae kutimiziana haja za mwili hapo hataumia sana.Issue inakuwa pia,ni level ya EMOTIONAL INVESTMENT kati ya hao partners wawili,malengo yao na pengine yale ambayo wamefanya au wamepitia pamoja.
 
Aiseee nahisi machungu yanatofautiana,
Mfano mwingine zaidi, labda mimi ni msichana nimejitunza na kuishi kwa uaminifu mpaka nikafikia umri wa miaka 25, 26. 27. Ni kiwa na malengo kwamba naomba atakaye nijua kwa mara ya kwanza ndo awe mume wangu. Au sitafanya mapenzi mpaka nimepata mume amenioa.

Katika umri kama huo unakutana na lijamaa linakuchakachua, baada ya kujiaminisha kwako asilimia zote kwamba atakuoa, mazingira na wakati vinachangia unajikuta umeliamini halafu linakukimbia.

Aisee kinauma, bora ingekuwa huko kwene 18,19, 20, huko utajifariji ni utoto, na ujana tu.
 
ahsante sana!....

kwa hiyo conclusion ni kwamba yule wa 22yrs na yule wa 32 yrs ikitokea wote WAKAACHWA NA WAPENZI WAO WA KWANZA MAUMIVU YATATOFAUTIANA,si ndivyo?

sasa kwa kifupi niambie ni nani anaumia zaidi?


Ukweli ni USIOPINGIKA ni kwamba kila mmoja anaumia

Nadhani cha msingi hapa ni magnitude ya maumivu kati ya hawa wawili.

Obviously, kwa mwenye umri wa miaka 32 ataumia zaidi na hasa kwa kuzingatia ya kuwa huu ni umri unaomsukuma mtu kuwa responsible, sasa kama umeshajiandaa kuchukua majukumu, umeweka mambo yako sawa...

kwa vyoyote vile huyu wa 32 ataumia, wa miaka 22 still anajiamini kuwa ni mbichi na hawezi kukwama na hata kama itamchukua muda bado atakuwa yuko kwenye perfect range.
 

mi nilidhani huyu mtu mzima anaendeshwa na facts zaidi,KWA HIYO HAUMII KIVIIILE KWAKE NI KWAMBA HAIJALISHI KAMA NI FIRST LOVE AU LA
 

SAMAHANI MAMA/BABA
nashindwa kuelewa ni kwanini huyu mwenye umri wa 32 ataumia zaidi?mimi nilidhani kwake yeye na utu uzima wake angerely kwenye FACTS na kukubali matokeo BILA KUUMIA

uchunguzi binafsi unaonyesha huyu mdogo anaendeshwa na hisia
 
dah, mapenzi ya cku hizi bana......ni magumu kuliko maisha....! mie bora niyakimbie....!
 
Yani.........hahahaa hahahaa hahahaaa.
Sasa naona unaaza kuelewa maana ya KUGONGWA.
 


nakubaliana na wewe unachokisisitiza hapa michelle,
kuachwa kweli kuna maumivu kwa pande zote mbili,
na hasa kama mlikuwa kwenye upendo wa hali ya juu,
labda kwa upande wa umri, mimi naweza kuwa na mtizamo tofauti kidogo,
mimi naangalia umri wa hayo mahusiano na wala sio umri wa hao walengwa,
Nashawishika kuwa pindi mahusiano ya wawili wapendanao,
yanapokuwa yamekwenda mbali kidogo, kwa maana ya kuwa yamekuwa ni ya muda mrefu,
lazima kuna kuwa na hali ya kila mtu kujitoa kwa mwenzake na kuona kwamba bila mwenzie maisha hayapo,
isitoshe kila upande unakuwa umeinvest mambo mengi na matarajio ya kimaisha kwa mwenzie,
sasa inapotokea mnasambaratika, maumivu yanakuwa ni makubwa sana,
kwanza kwa ile fear of the unknown, pili, unaona maisha hayapo tena na matumaini yanakufa automatically!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…