hahaha!Mwambie shangazi anisamehe mwaya mie bado ni shangazi yake tu
Itabidi nifanye namna ..
Vip Teamo wewe bado unamkumbuka aliyekupiga kibuti?:A S 39:
hahaha!
hatukuwahi kugombana,
we are good friends kwa sasa,and she respects my familym (wife and kid)
hommie hivi MASIKA hakukufundisha vyema hesabu?.....sorry fadha MUHUME hakukufundisha sawasawa fiziksi?Big,
Umesomeka lakini....kuna mipressure humo balaaa aiseee.....!
hahaha!
hatukuwahi kugombana,
we are good friends kwa sasa,and she respects my familym (wife and kid)
Exactly my point hapo NL.........yani twiga stars LOVE them Serengeti boys na Serengeti ladies LOVE them Ankal.Big,
Umesomeka lakini....kuna mipressure humo balaaa aiseee.....!
hahahahaaa.......ulinisoma pale kwenye 7 years later?So its a true story.........!
they can't do that on a first love......!ikitokea basi ni one in million occassionsExactly my point hapo NL.........yani twiga stars LOVE them Serengeti boys na Serengeti ladies LOVE them Ankal.
Umeona tofauti hapo?
ninachoshindwa kuelewa ni hiyo dhana ya huyo mwenye 32 KUPATA UZOEFU WA KUONA NA KUSHUHUDIA PEKE YAKE TU.....!kwakweli kama ni ishu za kuona na kushuhudia tu hata darasa la 3-C wanaweza kuwa na uzoefu wa aina hiyo kwakuwa hivi vitu havitokei usiku tu
mimi naendelea kuhoji KUKOMAA KIFIKRA kwa huyo mwenye 32....!labda nithibitishiwe hapa kwamba fikra zinakomaa kwa UMRI TU....!yani UMRI TU FIKRA zinakomaa....!HAPA MIMI NITABISHA MPAKA ASUBUHI.tuna vijana wengi tu wenye 22-25 wana fikra pevu kabisa na wanajua wanachokifanya
NITARUDI
hahahahaaa.......ulinisoma pale kwenye 7 years later?
No Comment hapa!!!hommie hivi MASIKA hakukufundisha vyema hesabu?.....sorry fadha MUHUME hakukufundisha sawasawa fiziksi?
PRESSURE=FORCE/AREA
sasa kama hutaki presha maanake ongeza area.....!NA KUONGEZA AREA NI KUCHUKUA TOTOOZ ZENYE MAKALIO MAKUBWA(AREA)
are you sure?
Five Hundrend percent
sasa wewe wazee wanakujaje hapa?tunazungumzia 22trs vs 32yrsKwahiyo Bwana mdogo unataka kusema age aint nothi but a number?
Hivi ni kwanini, vijana wakikorofishana hukimbia kwa wazee kwenda kuomba ushauri?
mshenga wangu alikuwa fidel80Hivi ni kwa nini hukumtumia mdogo wako kama mshenga wako?
wakiwa na ndoa ina maana wana umri mkubwa?no way-dokta nove kasimamia ndoa akiwa na siku kumi tu baada ya ndoa yake,NOT VALIDHini ni kwanini wasimamizi wa ndoa (samahani hapa kikiristo zaidi) wanalazimika kuwa watu wenye ndoa zao?
sasa wewe utahamishwa jukwaa sasa....!it has nothing to do with siasa,Hivi ni kwanini (kisiasa) kuna minimum ages za kushika posts kama urais nk
lazima ni kwambie wewe kwakuwa ni ndugu na rafiki wa siku nyingi,huyo finest tumekutana kimujinimujini,ndoa yangu haimuhusu....aftaroo we ni bwasheeHivi ni kwanini ukikwaruzana na mshiki unaniambia mimi na wala si Crap FINEST?
elimu ya dunia na ya darasa vyote utakuwa umenizidi LAKINI SI KWA UMRI PEKEE...kuna exposure,exiperience,na mambo mengine kama facilities za kuwa expozid na duniaUkiondoa elimu ya darasani, dont you think nimekuzidi kwenye elimu dunia? huamini nimeshuhudia mengi kuliko wewe?
i was born to bishana.....Ntarudi tena kubishana.
Without you my days are "Sadday,"Moanday, "Tearsday, "Wasteday, "Thirstday, "Fightday", and "Shatterday"aaa wewe unaniangusha ulikua sista margaretha nini? above 30 yrs hakuna maumivu ukiachwa kuna kajihuzuni kadogo then life goes on (ni maoni yangu tu)
Nimemrekebisha hapo juu......check vizuri.We Maty, sory Clearing hapo juu unatuharibia sredi yetu.
Nimemrekebisha hapo juu......check vizuri.
Watu wengine wanasomeka kama matangazo ya airtel!!!
Hahaha kamata hiyo babu!We Maty, sory Clearing hapo juu unatuharibia sredi yetu.
Haya........endelea kubishana na Teamo........mm RefariiHahahaha..manake ni kama kopi endi pesti ya dhe wei of posting!