Dah! Mi nashukuru sijawahi kuachwa... Though najiandaa kuacha mtu...
It's so sad!!!
Hii thread inaanza kunifanya nijifikirie mara mbili...
]Sikujua alikuacha na ujauzito. Shenzzy zake kabisa. Kwahiyo shem wangu ukambambikia mimba au uli do the needful?[/COLOR]
BTW: Hivi kumbe kuacha nayo ni bahati? Subiri niitafute bahati yangu.
babaangu alinirithisha lakini sasa nitajiandikisha masomo y ajioni chuo kikuu huria nisome sheria kama 'hobby' hahaaaa lol!!!
What goes around, comes around. Mwenzio nilikuwa naona sifa kuacha acha watoto wa watu, siku nilipoachwa niliona dunia chungu!
Kuachwa ni kama msiba, yaani bora usikie kwa mwenzio tu!
haa wapi, amuache nani na mimba...mimba ilikuwa ya wenyewe, lakini jamaa aliniachaga utamu, hakuna hata signal mtu ujue unacheza kwa step, ndio mana kwake nasema bahati mana aliniotea ki kweli kweli....kweli kilichopo moyoni mwa mtu ni cri ya mtu mwenyewe.
Siku ukienda kuchukua fomu, nichukulie na mimi....!!!
What goes around, comes around. Mwenzio nilikuwa naona sifa kuacha acha watoto wa watu, siku nilipoachwa niliona dunia chungu!
Kuachwa ni kama msiba, yaani bora usikie kwa mwenzio tu!
heee kumbe ni janga la taifa...pole swity....mie ndio nilizifungulia pombe, nilikuwa nakunywa pombe mpaka nacnzia bar....mwehhh...unajua ile kujilipua kwa mtu, yaani nilijitoaga mhanga, nilimpendaga sana jamaaa, kwa moyo 1...khaaa.
HII NI KITU MBAYA SANA AISEE HASA UKIWA NDIO UMEJITOA KIMWILI NA KIROHO KWA MTU THEN ANAKUTOSA MBAYA SANA,MIE KUMBUKUMBU ZANGU BEFORE SIKUWAHI KUPENDA DEMU KABISAA ILE IKAINGIA ROHONI,LAKINI KUNA MUDA NILIMPATA MTOTO MMOJA WA KIMARANGU PALE NDIO NILIJITOA HASWA KWA MARA YA KWANZA,LAKINI ALICHOKUJA NITENDA SITASAHAU MAISHANI KAMWE,MPAKA LEO HUWA BADO NAONA KAMA NI NDOTO MBAYA NILIYOWAHI OTA KTK MAISHA YANGU AMBAYO HAISAHAULIKI,CHA AJABU MPAKA SASA BADO ANANISUMBUA TURUDIANE.:angry:
muosha huoshwa!!!!!
mutoto ya mujini Kilosa maujanj ayote ukatumbukiza mifukoni hahaaaaaaaaaaaaaa lol!!!
of course wananihitaji sana tu,mchakato jamaa amesarenda lakini naona ananichezea tu kwani sasa anaplay part kumconvise mtoto akatae kuondoka na mimi unless niwabebe wote pamoja na yeye.but bado nahitaji msaada wako tutaonana soon nikiteremka.hapo na wewe usijishaue, mda wowote kwani wao wankuhitaji.........???
btw ule mchakato wetu sijui uliishia wapi, my offer is still valid though!!!
aaah naomba tusome batch tofauti bana...........!!!!!
aaah naomba tusome batch tofauti bana...........!!!!!
Sweetheart! Kama nakuona vile unavyokuwa unazindamiza! Dah! But as someone has said on this thread, TIME HEALS!
angalu ukion asignal you get prepared for the worst lakini hyo yako dearest ilikuwa 'surprise' ya kuua!! ukiwa na moyo usiohimili vishindo ni hatari sana!!!
ndio inavyokuwa,lakini mi naona baada ya hapo unakua umepata somo moja safi sana,next time unakua unajua jinsi ya kuhandle case kama hizo ikitokea,mie mpaka sasa nimekuwa na moyo mgumu kweli,nasikitika kuna mkenya mmoja nae nimemtosa mwaka na nusu sasa,namuonea huruma kweli anavyohangaika maskini,ila nilikua sina jinsi ilibidi nimuache family yake complicated sana.heee, halafu inakufanya unapenda kimachale machale vile,mr alipataga shida sana kunipata, mana nilikuw anahc narudi kule kule....
Aaah mbona unanibania? ''U-slow learner'' wangu usikufanye ukanikimbia, nitajitahidi kutodesa mpaka jina, nitadesa utilio tu!
acha wasome bht, huenda kukawa na sheria ya kuacha na kuachwa wakishapata Phd zao!
ndio inavyokuwa,lakini mi naona baada ya hapo unakua umepata somo moja safi sana,next time unakua unajua jinsi ya kuhandle case kama hizo ikitokea,mie mpaka sasa nimekuwa na moyo mgumu kweli,nasikitika kuna mkenya mmoja nae nimemtosa mwaka na nusu sasa,namuonea huruma kweli anavyohangaika maskini,ila nilikua sina jinsi ilibidi nimuache family yake complicated sana.
Mom wasome tu lakini mimi kusoma na Masaki darasa moja hapana.......