kwahiyo nawe umo? walah nikimuona matesha namwambia ckubal aliwe vyake wakati naona!
ameckia nyamayao anaolewa anacal anajidai shetani alimpitia nimsamehe ye ndio anastahili kuwa mume wangu.....khaaa, alikuja kunitia machoni nasukuma tumbo mbele.......
Babu sitaki kucheka mie unaniharibia hasira zangu bana!Ukaambie kaMatesha kangu? Wala hata hakajui nini maana ya kutoswa. Labda ulimaanisha mama yake? Kama ni mama yake mbona hana noma? Au nikuPM namba zake? Kuna siku mpashukuna mmoja alimwambia nimemwona mme wako na baamedi unajua alijibiwaje??? Achana na mama matesha wangu bana! Lazima aende mbinguni!
wanaume wote wanatenda, haijalishi kabila mom.
Mamii nadhani ni ukichaa hasa maana leo nilikuwa nasikiliza redio mdada mmoja aliamua kumsaka mwizi wa mume wake alipomkuta hayo mahojiano sasa nimejikuta nacheka mwenyewe- eti we ndo unanifanya nikose haki yangu; mwenyewe nilishazoea akirudi napata, usiku napata na asubuhi napata sasa sipewi pengine hata wiki nakwambia utanitambua ah yaani acha tu ni kweli inabidi uwe kichaa- mimi kwa sasa naombeni tu nhalf time!!
Ukaambie kaMatesha kangu? Wala hata hakajui nini maana ya kutoswa. Labda ulimaanisha mama yake? Kama ni mama yake mbona hana noma? Au nikuPM namba zake? Kuna siku mpashukuna mmoja alimwambia nimemwona mme wako na baamedi unajua alijibiwaje??? Achana na mama matesha wangu bana! Lazima aende mbinguni![/QUOTE
ah mbavu zangu mm! hajui maana ya kutendwa? ulimtoa kibosho?uru? rombo? usinipe no yake asijenambia mwizi mm!
sorry, hope sijakukwaza, nawangu mcha.. ati kuna mtu akanitel wala usihangaike huwezi kuta mchaga hana mtu nje!
Babu sitaki kucheka mie unaniharibia hasira zangu bana!
Yaani sijui ma X nani aliwafundisha huu upuuzi!
The same applies to me!
Nilipigwa chini eti sikuwa na msimamo; ilhali my Dad alikuwa ametoka kufariki na mwenzangu nikamweleza kuwa itabidi tuahirishe ile level tuliyopanga..........hilo tu kosa!
Aka move on! mpaka leo hajaolewa na mimi nina 5 yrs! Huyu Mungu huyu nyie acheni aitwe Mungu tu! Bila aibu anadai mimi ndiyo nilikuwa Mume pekee ninayemfaa!!!!!!!!!!!!!!!!
na akakuta ushaoa tayari?
Yaani sijui ma X nani aliwafundisha huu upuuzi!
The same applies to me!
Nilipigwa chini eti sikuwa na msimamo; ilhali my Dad alikuwa ametoka kufariki na mwenzangu nikamweleza kuwa itabidi tuahirishe ile level tuliyopanga..........hilo tu kosa!
Aka move on! mpaka leo hajaolewa na mimi nina 5 yrs! Huyu Mungu huyu nyie acheni aitwe Mungu tu! Bila aibu anadai mimi ndiyo nilikuwa Mume pekee ninayemfaa!!!!!!!!!!!!!!!!
Ukaambie kaMatesha kangu? Wala hata hakajui nini maana ya kutoswa. Labda ulimaanisha mama yake? Kama ni mama yake mbona hana noma? Au nikuPM namba zake? Kuna siku mpashukuna mmoja alimwambia nimemwona mme wako na baamedi unajua alijibiwaje??? Achana na mama matesha wangu bana! Lazima aende mbinguni![/QUOTE
ah mbavu zangu mm! hajui maana ya kutendwa? ulimtoa kibosho?uru? rombo? usinipe no yake asijenambia mwizi mm!
haaa unaogopa kibao kickurudie...lol
Hahahaha! Huwa ananambia we tafuna huko weeeeeee ili mradi chakula changu cha usiku usinipunje. (huwa ananipaga na kodom nikisafiri hakyanan tenai):target:ah mbavu zangu mm! hajui maana ya kutendwa? ulimtoa kibosho?uru? rombo? usinipe no yake asijenambia mwizi mm!
We si nilikuwa nakuambiaga sisi midume marijali wote lazima tunacheza mechi za mchangani ukawa unanibishia? Imekuwaje leo umekuwa upande wangu ilhali siku zote huwa hatuchezi uwanja mmoja?hujanikwaza mom, wanaume ni wanaume tu awe mchina, mchaga, msandawe....akiitwa mwanaume ba c tegemea lolote.
Hahahaha! Huwa ananambia we tafuna huko weeeeeee ili mradi chakula changu cha usiku usinipunje. (huwa ananipaga na kodom nikisafiri hakyanan tenai):target:
mhhh....
Malabuku!!! hajawahi kufiwa yeye?? au alidhani we moyo wako wa chuma??
amelipia mtendo yake sasa.......!!!
Unaguna au unanionea wivu?mhhh....
Nilikuja kujua kuwa kwake muhimu ilikuwa kuolewa na si mimi! Nashukuru Mungu aliniepusha!
@ Nyamayao nipo kwenye ndoa mwaka wa 5 huu sasa hukuwepo wakati naadhimisha na wapwaz hapa?
Vipi; baby comeback ni vocabulary katika mila zenu?Nilikuja kujua kuwa kwake muhimu ilikuwa kuolewa na si mimi! Nashukuru Mungu aliniepusha!
@ Nyamayao nipo kwenye ndoa mwaka wa 5 huu sasa hukuwepo wakati naadhimisha na wapwaz hapa?
Babu nimeisoma hii huku nimefumba macho lakini ah hapa...... pana utata.Hahahaha! Huwa ananambia we tafuna huko weeeeeee ili mradi chakula changu cha usiku usinipunje. (huwa ananipaga na kondom nikisafiri hakyanan tenai):target:
1. huwa anakupaga na kondom ukisafiri au
2. Huwa anakufungashia na kondom ukisafiri?
Bye nafumba tena macho Babu!!
kweli maisha ya ndoa ni magumu, yataka uvumilivu, utaahira na hata ukichaa kuyakabili kwa upande mwingine ni mazuri