Bora umebadilisha mawazo, dah! Maana sijui ningekuwa mgeni wa nani huko Lushoto mie!
Kuna mtu alitaka kuzimia! muda wa kukusanya pepa umefika halafu pepa bado iko kwa mdesaji! weweeeeeeeeee! Si mihangaiko hiyo! kwi kwi kwi yaani ni burudani tosha!
ha kuna siku lecturers kama 5 hivi walituvamia maana walitonywa watu wanadesa eeh bwana eeh kumbe makalio makubwa yana matumizi yake......watu walikalia madesa na prof akapita patupu...................
Hahahahahahahahahahaha wewe mtoto unaniharibia stimu za Valuu kha!
We unafikiri kwa nn mm napenda sana wenye makalio makubwa yale yana kazi nyingi bana.
BHT,tatizo wadesaji wengi nlokutana nao huw ahawana nidhamu, hawana tofauti na wezi wa kazi za wasanii...yaani mwisho wa siku karatasi yangu ya majibu aning'ang'ania kama yake bana afu mi nachelewa kumaliza!!!
btw; umeandika kwa huzuni mpaka najisikia kukuchukulia fomu!!!
mashallah she z blessed with that backyard,!
BHT,
We acha tu, ili Tatizo mbona limesumbua wengi sana, nakumbuka kuna jamaa yeye alikuwa mtu wa masanga saaaaaaaaaana, wakati wa mtihani anaweka oda utasikia "brother tunakaa woote" , huyo jamaa alikuwa fasta kukopy kulikoni, alikuwa ananifuraisha kitu kimoja ukikosea anajua kuwa umekosea lakini anangoja wewe urekebishe yeye aamishe tu, Utamsikia akilalamika hiyo ya pili umekosea bwana rekebisha.
Niache basi kwa Sadala na huyo binti mammy,
P'se help me huo ndo ugonjwa wangu anaweza akaniponyesha.
BHT,
We acha tu, ili Tatizo mbona limesumbua wengi sana, nakumbuka kuna jamaa yeye alikuwa mtu wa masanga saaaaaaaaaana, wakati wa mtihani anaweka oda utasikia "brother tunakaa woote" , huyo jamaa alikuwa fasta kukopy kulikoni, alikuwa ananifuraisha kitu kimoja ukikosea anajua kuwa umekosea lakini anangoja wewe urekebishe yeye aamishe tu, Utamsikia akilalamika hiyo ya pili umekosea bwana rekebisha.
Fide acha tu!!! hiyo pepa ilikuwa ngumu afu prof huyo alikuwa na historia ya kung'ang'ania poor me!!!
kuibiwa huwa siwezi ntakamatwa mara moja......best yangu alikuw amweupe kichwani kw ahiyo usiku alifany akazi ya kutengeneza nyenzo tu, mashallah she z blessed with that backyard, alikalia kitu na mkubwa akapita hv hv!! it was a matter of death or life!!!
hahaaaaaa Masaki uko wapi unisaidie kumthibitisha huyu binti lol!!!
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa jamani Rene uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii umeniua kabisa sasa mwenzio duh!!!
huyo mdesaji wa maana huyo deyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyym!!! rekebisha yeye aamalizie kukopi duh!! at least anajua hilo sio jibu sahihi japo hajui jibu sahihi ni lipi!!!!
Yaaani I have loved that mdesaji anayejua mpaka jibu sahihi ila hawezi kurekebisha mweneyewe. Kuna siku kwenye ''kijiji'' tuliyekuwa tunamtegemea alikosea formula kwa kuwa alilielewa swali vinginevyo. Kwa kuwa wengine hata karatasi za maswali tulikuwa tumeweka pembeni tunasubiri kudesa tu, ''kijiji'' kizima ikala kwetu.......Msishangae ZILIKUWA HESABU ati...!!!
Jamani hivi mapenzi bado yapo?