Kuadimika kwa Petrol Songea

ndiuka

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2009
Posts
644
Reaction score
740
Wakuu nipo Songea hapa toka jana, baadhi ya vituo vya mafuta hakuna Petrol, inaelekea wafanyabiashara wanaficha mafuta huenda wanategemea kupanda kwa bei karibuni huu si uungwana. Hebu mamlaka zichukue hatua.
 
Ni kwa sababu hakuna dollar za kununua mafuta, na kukosekana kwa mafuta itafanya usafirishaji na kila kitu kuwa very expensive, anguko la uchumi linakuja jiandaeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…