Kuagiza cement kutoka Kenya

Maji Chai

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2018
Posts
265
Reaction score
362
Habari za muda huu wapendwa,

Nalipanda jukwaa la JamiiForums kwa kutaka kunena na wafanyabiashara wa hardware, kama kichwa kinavyosema hapo.

Ninatoa huduma za kuagiza cement aina ya Bamburi na Rhino kutoka nchini kenya na kuingiza Tanzania.

Natoa ushauri, elimu pamoja na kufanya facilitation ya mzigo kama kutakuwa na mtu anahitaji kufanya biashara hii.

Karibuni

0756860550
 
Tatizo la watanzania kila kazi kutaka kufanya udalali hamna mtaji wa kazi zenu, hiyo ni hatua ya kwanza ya utapeli, utanipa ushauri gani? Kwanini usilete uuze mwenyewe.
 
Tatizo la watanzania kila kazi kutaka kufanya udalali hamna mtaji wa kazi zenu, hiyo ni hatua ya kwanza ya utapeli, utanipa ushauri gani? Kwanini usilete uuze mwenyewe.
Sawa Mkuu ngoja ntafute mtaji mzuri halafu niagize mwenyewe
 
Bambur Tz aina soko
 
Hiyo biashara niliwahi kuifanya nikakumbana na Kodi lukuki za Tanzania nikashindwa kuendelea nayo.kuingiza mizigo Tanganyika Toka Kenya ni sawa na kuagiza mbuzi kuleta kwenye hifadhi ya simba
 
Achana na hili wazo.
Hili wazo ni zuri matumizi ya moja kwa moja (sio biashara) hasa kwa wakazi wa ukanda wa mipakani kama Tanga, Moshi na Mara.
 
Achana na hili wazo.
Hili wazo ni zuri matumizi ya moja kwa moja (sio biashara) hasa kwa wakazi wa ukanda wa mipakani kama Tanga, Moshi na Mara.
Mpaka ulinganishe bei zake ndo ufanye maamuzi sahihi.
 
Hiyo biashara niliwahi kuifanya nikakumbana na Kodi lukuki za Tanzania nikashindwa kuendelea nayo.kuingiza mizigo Tanganyika Toka Kenya ni sawa na kuagiza mbuzi kuleta kwenye hifadhi ya simba
Mkuu tuwasiliane tuzungumze kidogo,ulikuwa unapitishia boda gani

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…