mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 566
nataka kuagiza gari japan, ni toyota super custom van 8 seaters ya mwaka 1994. mwenye ufahamu na mambo ya kodi pale bandarini dar tafadhali aning'ate sikio namna itakavyokuwa taxed niangalie mfuko wangu vzuri kabla cjalipia. cif yake imesimama usd 7000.
Nakushauri masuala ya kutuma 3500 kwa risiti mbili inaweza kukugharimu sana. Wanauwezo wa ku-trace hiyo gari na kuona bei yake kirahisi sana. Jamaa yangu alijaribu huo mchezo ukamgarimu kuliko alivyo tarajia. Huwezi kumdanya mtu hiyo gari umeipata kwa usd3,5000 bei za magari zinajulikana huwezi kudanganya kirahisi.
nafikiri ezan kashamaliza , yaaaani ndio maana hatundelei gari la dola 7000 unalipa ushuru mil 21 wapi na wapi , mkuu ka unaweza unavyotuma hela huko japana , fnya transfer mara 2 , yaaani dola 3500 alafu dola 3500 , ili wakupe risiti 2 , so unaweza kuwaambia watu wa tra/bandarini umenunua kwa dola 3500 ingawa na wao wata uplift kidogo inaweza kusaidia ni mtazamo tu .......