Old Member (Retired)
JF-Expert Member
- Sep 29, 2012
- 3,401
- 1,610
Asante mkuu ila sihitaji kutuma kwa kupitia mtu, nahitaji kampuni.Nitumie pesa takutumia hukohuko uliko
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Asante sana mkuu, nilikuwa sifahamu kama huwa wanatoa huduma hii.Tumia dhl wana hyo huduma
Tumia dhl wana hyo huduma
Wapo tofauti mkuu, wangekuwa sawa nisingehangaika kuagizasungura wamejaa vijiji vyote tanzania mbwa hadi mtaani wapo wanazurura why kuagiza nje
Nitumie pesa takutumia hukohuko uliko
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Mswahili akipata ma.---- hulia mbwataaaaaaa
Wewe umepata vijisent vya kharamu
Wewe naimani una ndugu wengi maskini unaleta kufuru hapa
Hizi ndoo akili zenu mag .alatiaaa
hivi kweli hata sungura tunaagiza labda kama ni maagizo ya mganga ,ndio maana hata njiti za meno na pamba za masikio na viberiti tunaagizaUnajua Hao Wanjama Wana Umuhimu Gani Kwake?
Kuna Kufuru Gani Aliyoifanya?
Mi Naona Wewe Ndie Unae Sumbuliwa Na Uswahili!!
hivi kweli hata sungura tunaagiza labda kama ni maagizo ya mganga ,ndio maana hata njiti za meno na pamba za masikio na viberiti tunaagiza