Ndugu wapendwa iv kwamfano umepangiwa chuo ilikuanza mwaka wakwanza alafu ukapatwa na matatizo ukashindwa kuripoti utafanyaje ili kuweza kuripoti katka chuo hicho kwa mwaka unaofuata au nafasi yako ndo imepotea nainatakiwa kufanya application upya mwaka unaofuata? Naomben msaada apo wadau nin chakufanya