Kuahirishwa mara kwa mara kwa hukumu za kesi zinazogusa masikio ya wengi maana yake nini?

Kuahirishwa mara kwa mara kwa hukumu za kesi zinazogusa masikio ya wengi maana yake nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa siku za karibuni imekuwa kama utamaduni wa Mahakama za Tanzania kuahirisha hukumu za kesi, hasa zile zinazotegewa masikio na watu wengi.

Mahakama yenyewe kwa hiyari yake, tena bila kushurutishwa na mtu yeyote inapanga tarehe ya hukumu baada ya kumalizika kwa usikilizaji wa kesi husika, lakini siku ya hukumu inapowadia Mahakama hiyo hiyo inaleta uzushi wa kuahirisha hukumu husika BILA SABABU ZOZOTE ZENYE MASHIIKO!

Kesi ya Sabaya na leo kesi ya Musiba ni mifano ya karibu mno ya jambo hili , nina mashaka hata ile hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomhusu Mbowe na wenzake iliyopangwa kutolewa uamuzi tarehe 19 october hii nayo itaahirishwa.

Haya yote ya kupotezeana muda yanafanyika kwa faida ya nani?
 
Musiba kachambia kisu.hata waahirishe mpaka mwakani.
Alifikiri magufuli ataishi milele??? Anatukana watu kiasi kile ati mwanaharakati huru!!!!
Sasa wakati wake umewadia.
Case ya sankara imeanza kusikilizwa
Kule ujerurumani aliyeendesha kambi za mateso wakati wa NAZ yupo mahakamani tena akiwa na 100yrs ni suala la muda tuu
 
Huu upuuzi huwezi kuisikia katika nchi zenye utawala bora. Eti hukumu haijamalizwa kuandikwa!!! SERIOUSLY!!!? Ulikuwa wapi muda wote huo huku ukijua tarehe ya kutoa hukumu ushindwe kumaliza kuandika hukumu!? Kwanini hukukesha au kuandika hata weekend ili uhakikishe siku ya hukumu basi hukumu imekamilika. Huyu ni wa kufukuza kazi kwa UZEMBE.


Kwa siku za karibuni imekuwa kama utamaduni wa Mahakama za Tanzania kuahirisha hukumu za kesi, hasa zile zinazotegewa masikio na watu wengi.

Mahakama yenyewe kwa hiyari yake, tena bila kushurutishwa na mtu yeyote inapanga tarehe ya hukumu baada ya kumalizika kwa usikilizaji wa kesi husika, lakini siku ya hukumu inapowadia Mahakama hiyo hiyo inaleta uzushi wa kuahirisha hukumu husika BILA SABABU ZOZOTE ZENYE MASHIIKO!

Kesi ya Sabaya na leo kesi ya Musiba ni mifano ya karibu mno ya jambo hili , nina mashaka hata ile hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomhusu Mbowe na wenzake iliyopangwa kutolewa uamuzi tarehe 19 october hii nayo itaahirishwa.

Haya yote ya kupotezeana muda yanafanyika kwa faida ya nani?
 
Huu upuuzi huwezi kuisikia katika nchi zenye utawala bora. Eti hukumu haijamalizwa kuandikwa!!! SERIOUSLY!!!? Ulikuwa wapi muda wote huo huku ukijua tarehe ya kutoa hukumu ushindwe kumaliza kuandika hukumu!? Kwanini hukukesha au kuandika hata weekend ili uhakikishe siku ya hukumu basi hukumu imekamilika. Huyu ni wa kufukuza kazi kwa UZEMBE.
Aibu kubwa sana
 
Kwa siku za karibuni imekuwa kama utamaduni wa Mahakama za Tanzania kuahirisha hukumu za kesi, hasa zile zinazotegewa masikio na watu wengi.

Mahakama yenyewe kwa hiyari yake, tena bila kushurutishwa na mtu yeyote inapanga tarehe ya hukumu baada ya kumalizika kwa usikilizaji wa kesi husika, lakini siku ya hukumu inapowadia Mahakama hiyo hiyo inaleta uzushi wa kuahirisha hukumu husika BILA SABABU ZOZOTE ZENYE MASHIIKO!

Kesi ya Sabaya na leo kesi ya Musiba ni mifano ya karibu mno ya jambo hili , nina mashaka hata ile hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomhusu Mbowe na wenzake iliyopangwa kutolewa uamuzi tarehe 19 october hii nayo itaahirishwa.

Haya yote ya kupotezeana muda yanafanyika kwa faida ya nani?
Inawezekana anayetakiwa kutoa maelekezo ametingwa na mambo mengine hivyo hawawezi kutoa hukumu, Tanzania ya leo katiba inasubiri uchumi ukue, tunakuzaje uchumi bila katiba! Mungu anajua.
 
Inawezekana anayetakiwa kutoa maelekezo ametingwa na mambo mengine hivyo hawawezi kutoa hukumu, Tanzania ya leo katiba inasubiri uchumi ukue, tunakuzaje uchumi bila katiba! Mungu anajua.
Noma sana !
 
Inawezekana anayetakiwa kutoa maelekezo ametingwa na mambo mengine hivyo hawawezi kutoa hukumu, Tanzania ya leo katiba inasubiri uchumi ukue, tunakuzaje uchumi bila katiba! Mungu anajua.
Ukoloni mambo CCM, bado tuna ukoloni wa fikra (herding behavior) an occurrence of thoughtful people suspending their individual reasoning because of fear of there leaders
 
Kwa siku za karibuni imekuwa kama utamaduni wa Mahakama za Tanzania kuahirisha hukumu za kesi, hasa zile zinazotegewa masikio na watu wengi.

Mahakama yenyewe kwa hiyari yake, tena bila kushurutishwa na mtu yeyote inapanga tarehe ya hukumu baada ya kumalizika kwa usikilizaji wa kesi husika, lakini siku ya hukumu inapowadia Mahakama hiyo hiyo inaleta uzushi wa kuahirisha hukumu husika BILA SABABU ZOZOTE ZENYE MASHIIKO!

Kesi ya Sabaya na leo kesi ya Musiba ni mifano ya karibu mno ya jambo hili , nina mashaka hata ile hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomhusu Mbowe na wenzake iliyopangwa kutolewa uamuzi tarehe 19 october hii nayo itaahirishwa.

Haya yote ya kupotezeana muda yanafanyika kwa faida ya nani?
Sabaya na Musiba mliwachongea ninyi wenyewe sasa hiyo kesi uamuzi wake unawahusu nini?

Ikifika hukumu ya Mbowe na yenyewe ulalamike hivi
 
Kwa siku za karibuni imekuwa kama utamaduni wa Mahakama za Tanzania kuahirisha hukumu za kesi, hasa zile zinazotegewa masikio na watu wengi.

Mahakama yenyewe kwa hiyari yake, tena bila kushurutishwa na mtu yeyote inapanga tarehe ya hukumu baada ya kumalizika kwa usikilizaji wa kesi husika, lakini siku ya hukumu inapowadia Mahakama hiyo hiyo inaleta uzushi wa kuahirisha hukumu husika BILA SABABU ZOZOTE ZENYE MASHIIKO!

Kesi ya Sabaya na leo kesi ya Musiba ni mifano ya karibu mno ya jambo hili , nina mashaka hata ile hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi kubwa inayomhusu Mbowe na wenzake iliyopangwa kutolewa uamuzi tarehe 19 october hii nayo itaahirishwa.

Haya yote ya kupotezeana muda yanafanyika kwa faida ya nani?
kesi ndogo ya gaidi nayo itaahirishwa mpaka ipangiwe jaji mwingine kupwa mpole mmeo atatoka tu
 
Huu upuuzi huwezi kuisikia katika nchi zenye utawala bora. Eti hukumu haijamalizwa kuandikwa!!! SERIOUSLY!!!? Ulikuwa wapi muda wote huo huku ukijua tarehe ya kutoa hukumu ushindwe kumaliza kuandika hukumu!? Kwanini hukukesha au kuandika hata weekend ili uhakikishe siku ya hukumu basi hukumu imekamilika. Huyu ni wa kufukuza kazi kwa UZEMBE.
KUNA MAMBO YA MSINGI YA KUFANYA SIYO HIZO KESI ZENU MNAZOSHABIKIA
 
Back
Top Bottom