Kama Sabaya hakupora hela za wafanyabiashara unadhani pongezi alizopata zilitokana na nini ? Halafu video zote za uvamizi na zingine zilizorekodiwa kwenye CCTV camera za mahoteli kadhaa Sabaya mwenyewe mbona hajawahi kuzikana , zaidi amedai alitumwa na Magufuli kufanya aliyoyafanya .
Wewe ni nani hadi upinge ?