Kuahirishwa mara kwa mara kwa hukumu za kesi zinazogusa masikio ya wengi maana yake nini?

Ni jambazi mwenziwe anayejaribu kuzika kichwa ardhini ili asionekane huku skonzi ameziacha hewani!!
 
Jaji mkuu anapenda sana kuongela "maboresho" ya mahakama, ni maboresho gani hayo huwa anayaongela? Au majengo mapya yanayojengwa na serikali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…