Kuajiriwa sio kabisa!

Kuajiriwa sio kabisa!

Red Scorpion

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2012
Posts
5,736
Reaction score
4,252
Ukitaka kujua kama kuajiliriwa ni upumbavu,siku bosi aje ofisini na wwanae,utaona wafanyakazi wanavyojichekesha kwa huyo mtoto.


(totoo waitwa nani)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee
 
Jamani, bila kujipendekeza unaweza ukakosa kusimamia mitihani ya taifa, na vifursa vingine kama hivyo. Pia usisahau kumpa shikamoo bosi wako hata kama amekuzidi masaa 3 ya kuzaliwa[emoji2].
 
Ukitaka kujua kama KUAJIRIWA ni upumbavu,Cku Bosi aje ofisin na Mwanae,Utaona wafanyakaz wanavyojchekesha kwa huyo mtoto.


(totoo waitwa nani)[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
shikamoo mkuu ha ha haa
 
inategemea na kazi unayofanya ofisi gani mitoto inakuja kuja ofisini?
 
Back
Top Bottom