Kuajiriwa vs kujiajiri

Kuajiriwa vs kujiajiri

J peter

Member
Joined
Jul 16, 2021
Posts
55
Reaction score
95
Mdau mmoja amejiajiri na anaweza kupata sio less than 1m monthly. Wazazi hawaelewi wanataka aombe ajira. Yeye binafsi ndoto yake ni kuniajiri kwa sababu ya ujuzi wake na competence anaamini atacompete katika secta husika. Wazazi wanamuona kama failure maana emetokea katika jamii inayoamini title za kiofisi.

Anaomba ushauri namna ya kukabiliana na wazazi wake.
 
Mdau mmoja amejiajiri na anaweza kupata sio less than 1m monthly. Wazazi hawaelewi wanataka aombe ajira. Yeye binafsi ndoto yake ni kuniajiri kwa sababu ya ujuzi wake na competence anaamini atacompete katika secta husika. Wazazi wanamuona kama failure maana emetokea katika jamii inayoamini title za kiofisi.

Anaomba ushauri namna ya kukabiliana na wazazi wake.
Hujaeleweka
 
Wazazi/familia zetu wengi zinaamini sana katika kuajiriwa serikalini na si kujiajiri-zinahita ELIMU ELIMU ELIMU.
Kujiajiri ni kuzuri sana kama kada uliyosomea ina mshahara chini ya 1,500,000 hata kama una miaka mitatu kazini mfano ualimu wa shule ya msingi unastaafu bado hujapata take home ya 1,500,000M
Vinginevyo uajiriwe kwa muda ili kupata mtaji na kuacha kazi na kisha kujiajiri mwenyewe.
 
Mimi binafsi ni mhanga kwa zaidi ya miaka 6 tunagombana kuhusu kuomba ajira ya serikali ilihali natengeneza zaidi ya ×10 ya take home kwa fani yangu ya ualimu kwa mwezi.
Kiukweli wazazi,ndg,jamaa zetu inabidi waelimishwe kuhusu kujiajiri ili wasiue ndoto za vijana
 
Mdau mmoja amejiajiri na anaweza kupata sio less than 1m monthly. Wazazi hawaelewi wanataka aombe ajira. Yeye binafsi ndoto yake ni kuniajiri kwa sababu ya ujuzi wake na competence anaamini atacompete katika secta husika. Wazazi wanamuona kama failure maana emetokea katika jamii inayoamini title za kiofisi.

Anaomba ushauri namna ya kukabiliana na wazazi wake.
pole, kwani unaishi kwa wazazi???
 
Mdau mmoja amejiajiri na anaweza kupata sio less than 1m monthly. Wazazi hawaelewi wanataka aombe ajira. Yeye binafsi ndoto yake ni kuniajiri kwa sababu ya ujuzi wake na competence anaamini atacompete katika secta husika. Wazazi wanamuona kama failure maana emetokea katika jamii inayoamini title za kiofisi.

Anaomba ushauri namna ya kukabiliana na wazazi wake.
Kwanini unamsingizia mwenzako?
 
Ukitaka ufanikiwe ni lazima kuna watu inabdi uwakate kwanza kwenye circle yako halafu uje uwarudishe Baadae huko ukibembea kwenye mafanikio

Especially ndugu zako
 
Labda hao washua hawaoni chochote Cha maendeleo anachofanya
 
Back
Top Bottom