Kuamka kwa Uislamu Tanzania kielimu na kimaendeleo

Kuamka kwa Uislamu Tanzania kielimu na kimaendeleo

GHANI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
722
Reaction score
301
Ndugu waislamu,sasa nimeona tumeanza kuamka kielimu na kiutambuzi, sasa tuna vyuo vikuu vitatu vya kiislamu na lengo letu ifikapo mwaka 2016 tutakuo na vyuo vikuu 13 kuna viwanja vimeshaanza ujenzi, pia hata mahospitali yanaongezeka sana, vituo vya radio na television, pia maofisini waislamu wamejaa tofauti na miaka ya nyuma tulipokua hatujaamka, tukazane kujiendeleza kwa bidii kielimu kuachana na mambo ya makafiri, pamoja na kumuamini Allah(S.W) na mtume (S.AW) inshaalah.
 
Ndugu waislamu,sasa nimeona tumeanza kuamka kielimu na kiutambuzi, sasa tuna vyuo vikuu vitatu vya kiislamu na lengo letu ifikapo mwaka 2016 tutakuo na vyuo vikuu 13 kuna viwanja vimeshaanza ujenzi, pia hata mahospitali yanaongezeka sana, vituo vya radio na television, pia maofisini waislamu wamejaa tofauti na miaka ya nyuma tulipokua hatujaamka, tukazane kujiendeleza kwa bidii kielimu kuachana na mambo ya makafiri, pamoja na kumuamini Allah(S.W) na mtume (S.AW) inshaalah.
mim ni muislam, lakin namashaka na akili yako. hapa ndo umeona muafaka kuleta mjadala huu kwa upeo wako?
 
Akili zako wewe bwana nindogo umeona hii ndiyo habari ya kuleta humu mbona unatukashifu waislamu wenzako,KULU NAFS DHAI KATUR MAUT
 
huyu hawezi kua ni muislamu that why hata data zake hazipo correct. I think ni adui wa uislamu anetaka kuchafua dini
 
hili tatizo sijui litaisha ln,2muombe Mungu a2saidie.maana hakuna k2 kinapoteza maendeleo kama itikadi za dini.alafu mada kama hz hazifai kuwekwa kwenye jopo la wasomi namna hii.2we makin sana.
 
Ndugu waislamu,sasa nimeona tumeanza kuamka kielimu na kiutambuzi, sasa tuna vyuo vikuu vitatu vya kiislamu na lengo letu ifikapo mwaka 2016 tutakuo na vyuo vikuu 13 kuna viwanja vimeshaanza ujenzi, pia hata mahospitali yanaongezeka sana, vituo vya radio na television, pia maofisini waislamu wamejaa tofauti na miaka ya nyuma tulipokua hatujaamka, tukazane kujiendeleza kwa bidii kielimu kuachana na mambo ya makafiri, pamoja na kumuamini Allah(S.W) na mtume (S.AW) inshaalah.

Duh hii hatari kubwa vyuo vitatu mbona sivijui zaidi ya Morogoro ?.
 
Back
Top Bottom