Kuamka ukiwa umechoooka.

Wakuu
Habari wana jf kuamka mwili ukiwa umechoka sana wakati mwingine kama umefanya kazi ngumu sana,inasababishwa na mambo gani kiafya au kimazingira
Natanguliza shukrani
Nitafte nipo Dar, ikiwezekana fika ofisin itakua na maana zaidi 0688462006
 
Swala kubwa ni kwamba unaulisha nini mwili wako? Kama chembechembe hai (body cells) hazikupata virutubisho stahiki, ni kama unaufanya mwili ku over work. Kukamilisha metabolism. Pata virutubisho vya kutosha utaondokana na hili swala.
 
Nimeupenda ushauri wako maana mi huwa Alarm na set nusu kabla ya muda wakuondoka hivyo ikilia tu... Ni straight to the bathroom!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…