* Kumekuwepo na tatizo la vifo vya ghafla sana tena kwa watu ambao wana afya njema na hii inatokana na kuamka ghafla usiku ambapo ubongo hukosa damu ya kutosha .*
*Unapoamka katikati ya usiku kwenda kujisaidia haja ndogo mfumo wa damu unakuwa umebadilika.* *Kwa sababu kuamka ghafla,kinakuwa hakuna mzunguko wa kutosha wa damu kwenye ubongo unaosababisha moyo kushindwa kufanya kazi kutokana na ukosefu wa damu.* *Ushauri:tumia dakika 3 na nusu kufanya yafuatayo":*
*1. Unapoamka usingizini lala kitandani kwa nusu dakika ;*
*2. Kaa kitandani kwa takribani nusu dakika;*
*3. Shusha miguu,kaa pembeni ya kitanda takribani nusu dakika.* *Baada ya dakika 3 na nusu hutakuwa na tatizo la ukosedu wa damu kwenye ubongo na moyo kushindwa kufanya kazi inapunguza uwezekano wa vifo vya ghafla na kuanguka ghafla.*
*Shirikisha marafiki na jamaa.* *Inatokea bila kujali umri.*
*kushare ni kujali.Kama tayari ulikuwa unajua hili lichukulie kama kumbukumbu.