Kuamua Kuwa Mdhamini Mwenza wa Ligi ya NBC, Ilikuwa ni Kutaka kupooza Machungu ya Kushindwa Kesi dhidi ya Morrison na si Vinginevyo

Kuamua Kuwa Mdhamini Mwenza wa Ligi ya NBC, Ilikuwa ni Kutaka kupooza Machungu ya Kushindwa Kesi dhidi ya Morrison na si Vinginevyo

wadzelino

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2019
Posts
225
Reaction score
385
Ni baada tu ya CAS kutoa hukumu ya Kesi ya Mwamba mwenye akili kuwazidi Kile kikundi chote, ndipo waliamua kutangaza kuwa wadhamini wenza wa NBC premier league, ukweli ni kwamba walitaka kujifariji tu, sasa faraja imeisha na Machungu yameisha.

Uchungu wa taasisi kushindwa dhidi ya mtu mmoja siyo mchezo, kwahiyo wapo sahihi kusitisha, ieleweke hivyo, la mhaho na hatihati za kupumuliwa kisogoni ni uongo tu.
 
Ni baada tu ya CAS kutoa hukumu ya Kesi ya Mwamba mwenye akili kuwazidi Kile kikundi chote, ndipo waliamua kutangaza kuwa wadhamini wenza wa NBC premier league, ukweli ni kwamba walitaka kujifariji tu, sasa faraja imeisha na Machungu yameisha.

Uchungu wa taasisi kushindwa dhidi ya mtu mmoja siyo mchezo, kwahiyo wapo sahihi kusitisha, ieleweke hivyo, la mhaho na hatihati za kupumuliwa kisogoni ni uongo tu.
Acha upopoma na umbumbumbu, kwa taarifa yako na makolo wengine wote, tff ndo waliifuata kampuni ya GSM na kuomba udhamini.
 
Wanawekeza sana kwenye propaganda hawa waarabu
 
Back
Top Bottom