Ntumami
Senior Member
- Sep 3, 2010
- 127
- 23
habari wana JF
Leo ningependa kulifikisha hili kwenu tulitazame sote kwa pamoja, huwa ninaona magari yameandikwa majina ya wamiliki ubavuni, mara nyingi kwa saloon ni karibu na milango ya mbele. Leo mtu mmoja akaniambia yeye alikutana nayo hiyo alipoenda kulipia faini mojawapo polisi akaambiwa hata kutokuweka jina ubavuni pia ni kosa na unaweza lipa faini!! sasa swali langu ni kuwa kuna umuhimu gani wa leo hiii kwa sheria hii kuendelea kufanya kazi?
sioni umuhimu wa kuandika jina langu kwenye gari langu!! ila nabanwa na sheria!!!
kama kuna polisi/lawyer naomba aseme neno ama afikishe hili huko juu
Leo ningependa kulifikisha hili kwenu tulitazame sote kwa pamoja, huwa ninaona magari yameandikwa majina ya wamiliki ubavuni, mara nyingi kwa saloon ni karibu na milango ya mbele. Leo mtu mmoja akaniambia yeye alikutana nayo hiyo alipoenda kulipia faini mojawapo polisi akaambiwa hata kutokuweka jina ubavuni pia ni kosa na unaweza lipa faini!! sasa swali langu ni kuwa kuna umuhimu gani wa leo hiii kwa sheria hii kuendelea kufanya kazi?
sioni umuhimu wa kuandika jina langu kwenye gari langu!! ila nabanwa na sheria!!!
kama kuna polisi/lawyer naomba aseme neno ama afikishe hili huko juu