Kuandika Nakala ya Wakfu

uzeebusara

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2013
Posts
657
Reaction score
514
Assalam alleykum!
Habari zenu?
Ndugu zangu naomba msaada wa namna ya kuandika nakala ya Wakfu. Mzee wangu ameamua kutoa eneo lake (kiwanja) kwa ajili ya wakfu, sasa nahitaji mwongozo huo kisheria. Kama kuna sampo ya nakala ya kisheria wakfu ntashukuru nikipatiwa! Itapendeza zaidi ikiwa katika lugha ya kiswahili! Tunahitaji kuipata ili familia ijadili. Eneo ni mali yake mwenyewe na sio letu watoto

Asanteni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…