Ok kwahio hio namba inakuwa ya mwajiri?
😃😃wakikugonga wanakuingiza humo humo kwenye ambulance wanakupeleka hospital[emoji3][emoji3][emoji3]au ukigongwa na msafara wa ambulance
Ukiwa kwenye gari lako au kwa mguu?mimi nauliza hivi ukigongwa na msafara wa raisi inakuwaje?