Kuangalia selected program, swali

baina

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2010
Posts
219
Reaction score
59
Nimefanikiwa kulogin tatizo linakuwa kama ifuatavyo, na naomba msaada hapa.

1. hatua ya kwanza .....login

2. hatua ya pili.......select ni pale kwenye ku-select namba mbili yenye 'My application.

3. Hatua ya tatu....hapa ndo muziki unapokuwa kwani naletewa code za program na yale ma-NO/YES.

SWALI:nikifikia hapa inanibidi nifanye nini?


Msaada tafadhali.
 
kulikuwa kuna no 1 ya My admission sasa sahv mwenyewe siioni naona namb mbili ya my application na nyngne za ku update.Itakuwa labda mtandao.
 
Du hata mm nimekutana na ishu hiyo hiyo anae jua basi atudadafulie
 
Ni kweli tcu watakua wamewaambia airtel waiondoe option ya admission

Hivi hawa tcu zinawatosha?, kwa hiyo ndo kusema wanatufanya sie wajinga? yaani nchi hii, Mungu yupo.
 
Hivi hawa tcu zinawatosha?, kwa hiyo ndo kusema wanatufanya sie wajinga? yaani nchi hii, Mungu yupo.

Labda ilikua hawataki watu wajue selection zao kabla ya kuyaweka katika web yao au walikua wanataka waweke hele kwa m2 atakae taka kuangalia via airtel labda atakatwa sh. 150 so tuombe mungu waweke fresh tu mambo yarudi kama zamani
 
Labda ilikua hawataki watu wajue selection zao kabla ya kuyaweka katika web yao au walikua wanataka waweke hele kwa m2 atakae taka kuangalia via airtel labda atakatwa sh. 150 so tuombe mungu waweke fresh tu mambo yarudi kama zamani

Ndugu yangu huu ni ujinga, kama walikuwa hawajajiandaa si wange subiri?, by the way hii ndo tanzania.
 
Duuuh, haki ya mungu, hawa tcu wameamua kuniumiza kichwa,tumbo, mafua yan siwaelewi! coz kuna watu wamechek kabisa katika chipi zao za airtel af eti now hakuna namim sijaangalia yan daaah! bhas bhana mungu anajua
 
Duuuh, haki ya mungu, hawa tcu wameamua kuniumiza kichwa,tumbo, mafua yan siwaelewi! coz kuna watu wamechek kabisa katika chipi zao za airtel af eti now hakuna namim sijaangalia yan daaah! bhas bhana mungu anajua

Jamaa wanazingua ila usijali mola yupo nasi ... just be patient soon ki2 kitatoka kwenye net fresh na poa hata hapo kwenye line yaweza wakairudisha kaka so Chill
 
Daaaah! thanks kaka, ujue inabouwa kwani wengne tayari washaona kwaiyo ambao hatujaona wanatutesa knouma kaka yan siyo sir nimekora raha!
 
hili nalo raia wanataka kula cha juu,airtel wapate tender,thn wajanja wa tcu waponee hapo,thy ar stupd! Hw com wanawapa airtel the selections wakat hata ktk official website yao hakuna hizo selection?! Ths z bongoland baaaana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…