Kuanguka ghorofa Kariakoo; Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.

Kuanguka ghorofa Kariakoo; Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Kwenye huo mkasa wa kuanguka kwa ghorofa Kariakoo kuna mengi yanasemwa ila linalozungumzwa zaidi ni hili la ghorofa kuchimbwa katika msingi kujenga underground.

Kama ni kweli watu walikuwa wanachimba hilo ghorofa kwenda chini ila kutengeneza huo upuuzi unaitwa underground/basement halafu wapangaji na mawinga wanaendelea kufanya biashara kwa juu kama kawaida basi hakuna tofauti sana na ajali za mabasi yanayosababishwa na dereva wanaoendesha vibaya huku abiria wanamuangalia, kumchekea au kumnyamazia tu.

Nakumbuka Tibaijuka kuna wakati alikuwa analalamikia kituo cha mafuta kilichokuwa kinajengwa barabara kiholela mtaani kwake baadhi ya raia wakawa wanamuona mnoko na mwenye wivu. Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.
 
Kwenye huo mkasa wa kuanguka kwa ghorofa Kariakoo kuna mengi yanasemwa ila linalozungumzwa zaidi ni hili la ghorofa kuchimbwa katika msingi kujenga underground.

Kama ni kweli watu walikuwa wanachimba hilo ghorofa kwenda chini ila kutengeneza huo upuuzi unaitwa underground/basement halafu wapangaji na mawinga wanaendelea kufanya biashara kwa juu kama kawaida basi hakuna tofauti sana na ajali za mabasi yanayosababishwa na dereva wanaoendesha vibaya huku abiria wanamuangalia, kumchekea au kumnyamazia tu.

Nakumbuka Tibaijuka kuna wakati alikuwa analalamikia kituo cha mafuta kilichokuwa kinajengwa barabara kiholela mtaani kwake baadhi wakawa wanamuona mnoko na mwenye wivu. Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.
100% True
 
Kwenye huo mkasa wa kuanguka kwa ghorofa Kariakoo kuna mengi yanasemwa ila linalozungumzwa zaidi ni hili la ghorofa kuchimbwa katika msingi kujenga underground.

Kama ni kweli watu walikuwa wanachimba hilo ghorofa kwenda chini ila kutengeneza huo upuuzi unaitwa underground/basement halafu wapangaji na mawinga wanaendelea kufanya biashara kwa juu kama kawaida basi hakuna tofauti sana na ajali za mabasi yanayosababishwa na dereva wanaoendesha vibaya huku abiria wanamuangalia, kumchekea au kumnyamazia tu.

Nakumbuka Tibaijuka kuna wakati alikuwa analalamikia kituo cha mafuta kilichokuwa kinajengwa barabara kiholela mtaani kwake baadhi wakawa wanamuona mnoko na mwenye wivu. Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.
Tena kama ni jambo linalohudusu ka siasa ndio kabisa.....hawanaga habari hawa watz.

Angalau la leo halihusu siasa. Ungesikia hawa chadema wamezidi....wapigwe tu.
 
Safety begins with you,
Ukiona kitu chochote ni unsafe,chukua hatua au kiripoti eneo husika,
Kuna vitu sisi wenyewe hua tunavifumbia macho,
Kama hapo juu kuna mdau ametoa mfano kwa Dereva wa Basi kendesha kwa mwendo hatarishi na abiria kukaa kimya tu.
 
Ukiongea kila mtu atakuona mshamba,hata kwenye gari ukipaza sauti unaonekana una mzingua dereva.Macho ya abiria yote yatageuka kwako kukushangaa
Gari ikila mzinga ndio majuto huwa mjukuu sasa,
 
Sio wote wana elimu hiyo ya ujenzi, na sio wote walijua kua kinachofanywa.

Mara ngapi tunaona majengo yanafanyiwa ukarabati na wapangaji wakiwamo humohumo.

Na kuna wale wa ingia toka hata hizo movements za mafundi si ajabu asizione.

Pole yao, sio kwa uzembe wao.
It's just they were at wrong place at the wrong time.
 
Sio wote wana elimu hiyo ya ujenzi, na sio wote walijua kua kinachofanywa.

Mara ngapi tunaona majengo yanafanyiwa ukarabati na wapangaji wakiwamo humohumo.

Na kuna wale wa ingia toka hata hizo movements za mafundi si ajabu asizione.

Pole yao, sio kwa uzembe wao.
It's just they were at wrong place at the wrong time.
Ni vigumu kuamini katika jengo wanalopita watu zaidi ya mia mbili kwa siku hakuna hata mmoja aliyekuwa na akili za kung'amua au kuhisi hicho kilichokuwa kinafanyika kilikuwa ni hatari, kama ni kweli hiyo inamaanisha tutakuwa na watu wengi wenye akili duni sana.
 
Kwenye huo mkasa wa kuanguka kwa ghorofa Kariakoo kuna mengi yanasemwa ila linalozungumzwa zaidi ni hili la ghorofa kuchimbwa katika msingi kujenga underground.

Kama ni kweli watu walikuwa wanachimba hilo ghorofa kwenda chini ila kutengeneza huo upuuzi unaitwa underground/basement halafu wapangaji na mawinga wanaendelea kufanya biashara kwa juu kama kawaida basi hakuna tofauti sana na ajali za mabasi yanayosababishwa na dereva wanaoendesha vibaya huku abiria wanamuangalia, kumchekea au kumnyamazia tu.

Nakumbuka Tibaijuka kuna wakati alikuwa analalamikia kituo cha mafuta kilichokuwa kinajengwa barabara kiholela mtaani kwake baadhi ya raia wakawa wanamuona mnoko na mwenye wivu. Kuridhika au kutoguswa na upuuzi unaohatarisha maisha yako ni kushiriki kujimaliza mwenyewe.
LAMINATION.
 
Back
Top Bottom