Habari wana JF,
Poleni na harakati za kusaka mkate wa kila siku.
Mimi ninaomba kufahamishwa vizur kuhusu hili tatizo la kitovu cha mtoto.
Inasemekana eti kitovu cha mtoto mchanga kikikauka na pindi tuu kutakapo angukia kweny uume wa mtoto kunauwezekano mkubwa mtoto huyo asiwe na uwezo tena wa kusimamisha uume wake.
Najua JF hakuna linaloshindikana hivyo naomba tubadilishane Mawazo ili tuelewe zaid.
Je!? Kitovu kina mahusiano gani na kusimama kwa uume.
Ahsante.
Mu-Arsenal