Kizimkazimkuu
JF-Expert Member
- Nov 8, 2007
- 337
- 240
Ndio, nafikiri Dr. Mfisi na mwenzie Dr.Janabi hawawezi kujitenga na lawama kufuatia kadhia ya kuanguka kwa JK jangwani.
Maelezo kuwa pressure ilishuka na Sukari ilipungua ni maelezo ambayo hayakubaliki na yanaashiri uzembe wa hali ya juu.kama wanachotueleza ni ukweli (binafsi siamini) dk. wa rais alijua ratiba ya rais na uzito wa shughuli atakayoifanya,kama wataalamu walipaswa ku anticipate tukio la namna ile na kuchukua tahadhari na kumshauri rais asifunge.
Daktari mzuri huzingatia sana past medical history ya mteja wake (walisahau kuwa JK aliwahi kuanguka Jangwani akiwa amefunga?)...nafikiri wataalam wa afya wajitokeze na kutoa maoni yao kuhusu tukio hili.
Binafsi sioni ubaya wowote kujadili suala la afya ya kiongozi wa juu kabisa wa nchi hii kwa sababu kwa nafasi yake, hakuna jambo linalomhusu ambalo linapaswa kuwa siri has kama lina athiri ufanisi wa kazi yake kama rais.
Maelezo kuwa pressure ilishuka na Sukari ilipungua ni maelezo ambayo hayakubaliki na yanaashiri uzembe wa hali ya juu.kama wanachotueleza ni ukweli (binafsi siamini) dk. wa rais alijua ratiba ya rais na uzito wa shughuli atakayoifanya,kama wataalamu walipaswa ku anticipate tukio la namna ile na kuchukua tahadhari na kumshauri rais asifunge.
Daktari mzuri huzingatia sana past medical history ya mteja wake (walisahau kuwa JK aliwahi kuanguka Jangwani akiwa amefunga?)...nafikiri wataalam wa afya wajitokeze na kutoa maoni yao kuhusu tukio hili.
Binafsi sioni ubaya wowote kujadili suala la afya ya kiongozi wa juu kabisa wa nchi hii kwa sababu kwa nafasi yake, hakuna jambo linalomhusu ambalo linapaswa kuwa siri has kama lina athiri ufanisi wa kazi yake kama rais.