Elections 2010 Kuanguka kwa JK Jukwaani, Hofu ya Kushindwa?

Elections 2010 Kuanguka kwa JK Jukwaani, Hofu ya Kushindwa?

Buchanan

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2009
Posts
13,192
Reaction score
1,972
1. Mpaka sasa kumekuwa na maswali mengi kuliko majibu kuhusu kuanguka kwa JK jukwaani, hasa nyakati za uchaguzi.

2. Kama kawaida wanasiasa Watz walishapata majibu hata kabla ya JK kuzinduka alipokuwa amezimia, tukaambiwa kwamba eti ni habari ya swaumu! Kwa wale mliofuatilia hotuba ya JK siku ya tukio tarehe 21/08/2010 mtakubaliana nami kuhusu alichosema Luteni Makamba wakati JK akipewa huduma ya kwanza. Kama ni habari ya swaumu pekee kwa nini hatuoni walalahoi ambao maisha yao ni magumu, hawajui hata kesho itakuwaje, wakidondoka ovyo wakati huu wa mfungo!

3. Kwa kuwa watu wenye BP za kupanda au kushuka huwa wanazimia wakati kunapokuwa na hofu fulani (kushindwa ikiwa mojawapo), kuna uwezekano mkubwa kwamba JK nahofia kukaa maisha ya nje ya Ikulu wakati atakapokuwa anampisha Daktari mwenzake Willbrod!
 
Kwa kifupi JK ni mgonjwa angekuwa na washauri wazuri wangemwambia astep down watakuja sababisha mambo ya kama Nigeria apa.
 
1. Mpaka sasa kumekuwa na maswali mengi kuliko majibu kuhusu kuanguka kwa JK jukwaani, hasa nyakati za uchaguzi.

2. Kama kawaida wanasiasa Watz walishapata majibu hata kabla ya JK kuzinduka alipokuwa amezimia, tukaambiwa kwamba eti ni habari ya swaumu! Kwa wale mliofuatilia hotuba ya JK siku ya tukio tarehe 21/08/2010 mtakubaliana nami kuhusu alichosema Luteni Makamba wakati JK akipewa huduma ya kwanza. Kama ni habari ya swaumu pekee kwa nini hatuoni walalahoi ambao maisha yao ni magumu, hawajui hata kesho itakuwaje, wakidondoka ovyo wakati huu wa mfungo!

3. Kwa kuwa watu wenye BP za kupanda au kushuka huwa wanazimia wakati kunapokuwa na hofu fulani (kushindwa ikiwa mojawapo), kuna uwezekano mkubwa kwamba JK nahofia kukaa maisha ya nje ya Ikulu wakati atakapokuwa anampisha Daktari mwenzake Willbrod!

NAKUBALIANA NAWE 100 %. Hivi kwa nini wamachinga hatuwaoni wakianguka mitaani au wao wamezoea kufunga?? Tukubali tukatae jamaa ni mgonjwa, period!!!
 
Mbona tumeshaongelea sana hili jambo...!

Nafikiri linarudia rudia kwnye mijadala kwa kuwa kuna ukweli unaokwepwa!!

President is sick, he need to rest and stop forcing his way to the second term in the office...! Aibu atakayoipta aki step down sasa inapimika kwani kwa kiasi kikubwa its just his own pride brought down.... lakini ikilazimika kupitia afya kuwa mbya zaidi hapo baadaye... aibu haitapimika....Ni kubwa na yakitaifa...kwa kuwa..alishauriwa na hakukubali!

Nikusahihishe... amewahi Kuanguka Kirumba .... wakati hakuwa kwenye kampeni ya Urais.... Hii inaondoa dhana ya kuwa ni mwoga wa Matokeo yasiyoridhisha ya wapiga kura wake.... Haangushwi na psychological or emotional factors ...ni tatizo halisi!!

Kuupenda ukweli kama ulivyo mara nyingi ni dawa tosha ya magonjwa mengi sugu ..... I wish him all the best!!!
 
Back
Top Bottom