Tetesi: Kuanguka kwa mabenki ya biashara tusiilaumu Serikali ila tujiulize wapi tumeanguka

Tetesi: Kuanguka kwa mabenki ya biashara tusiilaumu Serikali ila tujiulize wapi tumeanguka

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nimekuwa nikisikiliza hoja mbali mbali kutoka watu mbalimbali nakutamani watanzania na wasomi ktk taifa hili tukubaliane yakuwa sio serikali inauwa secta zaki bank ila mahali fulani vyombo vyetu vyenye dhamana kusimamia taratibu za uwendeshaji ma bank haya zilifungiwa macho na kila mtu akafanya alichokifanya na leo tumefika hapa tumefika.

Ktk taifa lenye almost~ 47 na wengi wao wapo vijijini tuna zaidi ya bank za biashara zaid ya 53 na nyingi zipo mjini kwa asilimia 95 lazima wenye akili ajiulize bank hizi zina fanya biashara gani.

Sitaki kuwa mnafiki ila kaburi mabank walijichimbia kwa muda mrefu sasa nidhahiri litazika ma bank mengi na sio siri haya yalitabiriwa.

Uajiri usioangalia aina ya kazi na watu wangapi wanaitajika huu ni mwiba wa kwanza kwa mabank mengi. Ilifika mahali bank ina ajiri watu wasio na tija ktk kaz ambazo angefanya mtu mmoja wao wameajiri watu mpaka wa nne kwa kaz watu wawil au mmoja angefanya. Uajiri usiofuwata taratibu kwa sasa ni mwiba mchungu kama sio kifo cha mabank mengi. Wenzetu wengi na sio ma bank tu hata taasissi za umma hili nitatizo kuajiri watu wengi uonekane muajiri bora wakati biashara inaingia shimoni nikujitoa akili.

Mishahara mikubwa with output zero nalo ni msalaba taasisi zakifedha niwazuri ktk kutoa mishahara minono hivyo ikiwa taasisi ya fedha ina ajiri kwa kuangalia mtoto wanani mwisho nilazima ujikute una mzigo mkubwa wa mishahara kwa watu hupati kitu kwao.

Idara nyingi na kila idara ina manager inasemekana bank ndipo kuna vyeo vingi vya meneja hivyo kufanya kuwa nabutitiri wa meneja hata pale hapaitaji maneger.

Bank kutumia amana za serikali kuikopesha serikali nakusahau zile pesa sio zao nao huu ulikuwa ujuwa unatutesa mpaka sasa niukweli usio pingika hakun amahali ktk taifa serikali inakopa pesa zakehivyo hata pale tunamsema Magu semen hii aina ya biashara tulipata wp
 
Hivyo vyombo vilivyowafumbia macho watendaji ni vyombo vya serikali ya Kenya?

Kinachoua uchumi wetu yakiwemo mabenki ni sera mbovu za Magufuli za kuwabana wawekezaji hasa wa nje kina Dangote kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani.
 
Nimekuwa nikisikiliza hoja mbali mbali kutoka watu mbalimbali nakutamani watanzania na wasomi ktk taifa hili tukubaliane yakuwa sio serikali inauwa secta zaki bank ila mahali fulani vyombo vyetu vyenye dhamana kusimamia taratibu za uwendeshaji ma bank haya zilifungiwa macho na kila mtu akafanya alichokifanya na leo tumefika hapa tumefika.

Ktk taifa lenye almost~ 47 na wengi wao wapo vijijini tuna zaidi ya bank za biashara zaid ya 53 nanyi zipo mjini kwa asilimia 95 lazima wenye akili

wacheni kupotosha, hali ya bishara ni ngumu sana mabenki yote yalkio kuw ayanategemea biashara kubwa kubwa yanayumba kwa sasa na mfano mzuri ni TIB na CRDB, wafanya bishara wakubw awote wapo hoii bin taaban.
 
Kuondoa pesa za serikali kutoka kwenye mabenki ya biashara na kuzipeleka benki kuu kabla ya mabenki hayajamodify business strategy ilikuwa ni mistake.

Ilitakiwa hiyo move ifanyike gradually kwa miaka kadhaa siyo mara moja tu.

Alternatively serikali ilitakiwa ikae mezani na mabenki izungumze nayo namna ya kupata win-win, kwamba kwa kila senti ya serikali ambayo mabenki yanakopesha watu badi nayo ipate percent kadhaa ya faida. Na pia kama serikali itakwenda kukopa kwenye hayo mabenki basi kwa kuwa Itakuwa inakopa pesa yake yenyewe basi inegotiate unafuu wa ulipaji na concenssions nyingi tu juu ya ulipaji. Kwa namna hii serikali ingehakikisha mzunguuko wa pesa uko vizuri, bank zinafanya biashara, na serikali ina pesa za kufanya mambo yake.
 
Kwaio tumejikwaa maanake sisi ndo tumesababisha hayo mabenki yaanguke? Yote kisa ya mhutu mmoja mtaka sifa lazima alaumiwe watu wengine akili za ki village elder hua haziwatokagi
 
Sera mbovu ndio sababu za hapa tulipofika. Ww mleta uzi hufahamu lolote kuhusu mambo ya fedha, unachofahamu ni kupanga mbinu za kihalifu ccm ishinde 2020. Utapeleka bank au kutafuta wateja vijijini wakati zaidi ya nusu huko vijijini wanalima kwa jembe la mkono?

Ishauri serekali yako ibadilishe sheria ya bank kuu kisha ikafungue tawi kila kijiji ili ichukue hao wateja ambao bank za biashara haziwaoni. Tuna rais asiyefahamu lokote kuhusu uchumi, lakini anaamini urais unaweza kuuamua lolote hata kwa hisia na mambo yakasonga. Ni hivi hizo pesa za serekali ziwekwe kwenye mabanki ya biashara ili tukope kwani ni kodi zetu. Serikali iweke utaratibu mzuri wa kupata faida ya pesa zake zitazowekwa huko bank za biashara. Huko vijijini kungekuwa na jipya tungeona viongozi na maofisa wakubwa wa serekali wakienda kuishi huko. Wote wamejazana huku mijini na ndio wenye pesa nyingi huku tija yao kwa taifa ni ndogo, halafu mnataka bank zikatafute wateja vijijini mahali ambako kula wali ni ufahari.
 
Nimekuwa nikisikiliza hoja mbali mbali kutoka watu mbalimbali nakutamani watanzania na wasomi ktk taifa hili tukubaliane yakuwa sio serikali inauwa secta zaki bank ila mahali fulani vyombo vyetu vyenye dhamana kusimamia taratibu za uwendeshaji ma bank haya zilifungiwa macho na kila mtu akafanya alichokifanya na leo tumefika hapa tumefika.

Ktk taifa lenye almost~ 47 na wengi wao wapo vijijini tuna zaidi ya bank za biashara zaid ya 53 nanyi zipo mjini kwa asilimia 95 lazima wenye akili
Benk mwenziwe hela, kama hela hakuna ni lazima na benki zitakufa.
Au
Kama hela zipo, alafu unaenda kuzitumia nje ya nyumba yako.
Ni lazima benki zife
 
Hivyo vyombo vilivyowafumbia macho watendaji ni vyombo vya serikali ya Kenya?

Kinachoua uchumi wetu yakiwemo mabenki ni sera mbovu za Magufuli za kuwabana wawekezaji hasa wa nje kina Dangote kwa kisingizio cha kulinda viwanda vya ndani.

Watanzania tutajuta kumpata dikteta hata ktk uwekezaji
 
Kuondoa pesa za serikali kutoka kwenye mabenki ya biashara na kuzipeleka benki kuu kabla ya mabenki hayajamodify business strategy ilikuwa ni mistake.

Ilitakiwa hiyo move ifanyike gradually kwa miaka kadhaa siyo mara moja tu.

Alternatively serikali ilitakiwa ikae mezani na mabenki izungumze nayo namna ya kupata win-win, kwamba kwa kila senti ya serikali ambayo mabenki yanakopesha watu badi nayo ipate percent kadhaa ya faida. Na pia kama serikali itakwenda kukopa kwenye hayo mabenki basi kwa kuwa Itakuwa inakopa pesa yake yenyewe basi inegotiate unafuu wa ulipaji na concenssions nyingi tu juu ya ulipaji. Kwa namna hii serikali ingehakikisha mzunguuko wa pesa uko vizuri, bank zinafanya biashara, na serikali ina pesa za kufanya mambo yake.
Ujinga sorry lakin
 
Kuandika namna hii ni ishara kwamba unalipwa , hata kwa akili ya kuazima kwanini hujiulizi kutokea kwa jambo hili kwenye awamu ya 5 tu ?
 
yaan kazi ya kufanywa na mtu mmoja waajiriwe wawili kwe sekta binafsi ambazo always zipo kimaslahi! hio c kweli bro hilo tatizo lipo serikalin na si sekta binafsi, issue kubwa kwa benki hizi kwa sasa ni kudorora kwa biashara pia ile habari ya jiwe kutoa pesa zote kupeleka BOT imeyumbsha sana hz bank, ilitakiwa either asiondoe kabisa au angeziondoa taratibu wakati benki hiz znaadapt mazngra mapya ya kibiashara, lakin jambo lingne ni kuyumba kwa sekta binafsi tunakokushuhudia sasa yaan sekta binafsi iko under assault, sasa km sekta binafsi imekuwa na vikwazo then serikali pesa zake inaweka kabatini hizi benki za biashara zitaishi vipi?
 
yaan kazi ya kufanywa na mtu mmoja waajiriwe wawili kwe sekta binafsi ambazo always zipo kimaslahi! hio c kweli bro hilo tatizo lipo serikalin na si sekta binafsi, issue kubwa kwa benki hizi kwa sasa ni kudorora kwa biashara pia ile habari ya jiwe kutoa pesa zote kupeleka BOT imeyumbsha sana hz bank, ilitakiwa either asiondoe kabisa au angeziondoa taratibu wakati benki hiz znaadapt mazngra mapya ya kibiashara, lakin jambo lingne ni kuyumba kwa sekta binafsi tunakokushuhudia sasa yaan sekta binafsi iko under assault, sasa km sekta binafsi imekuwa na vikwazo then serikali pesa zake inaweka kabatini hizi benki za biashara zitaishi vipi?
Hivi kiwanda cha Dangote kimeisha anza kazi tena?niliambiwa mwezi wa nne?
 
Back
Top Bottom