Mshobaa
JF-Expert Member
- Apr 7, 2013
- 1,714
- 677
Wakuu hivi huu mradi kuna mwenye taarifa ya utekelezaji wake?
Mwanzoni mwa mwaka huu tuliambiwa Serikali imesaini mkopo wa mabilioni kwa ajili ya kujenga miundombinu katika jiji la Dar es Salaam ambapo utekelezaji wake ungeanza mwezi june 2024 lakini hadi sasa tunaenda August bila dalili ya kuonekana greda barabarani.
Naomba kuuliza je ni lini huo mradi utaanza rasmi utekelezaji wake?
Mwanzoni mwa mwaka huu tuliambiwa Serikali imesaini mkopo wa mabilioni kwa ajili ya kujenga miundombinu katika jiji la Dar es Salaam ambapo utekelezaji wake ungeanza mwezi june 2024 lakini hadi sasa tunaenda August bila dalili ya kuonekana greda barabarani.
Naomba kuuliza je ni lini huo mradi utaanza rasmi utekelezaji wake?