Kuanzia 2015 Tanzania itatawaliwa "kidikteta" Ukweli huu hapa

Uliona mbali sana, 2012 then baada tu ya uchaguzi i mean 2015 mambo uliyosema yote km sio mengi yametokea. Upo vzr na uliona mbali sana pongezi kwako. I appreciate you
 
Mkuu,
Watu kama wewe ndio wanaitwa akili kubwa.
Sijajua kama bado upo na bado hai na ni active memba wa JF.
Hongera sana kwa utabiri wako.
 
MH! AU NA WEWE ULIKUA JIKONI KUPIKA HAYA? KWA MAANA SI KWA UTABIRI HUU
 
Huyu mtu alifahamu everything!Alifahamu kuwa ni jiwe ataingia madarakani. Majina mengine aliweka kama boya tu kugeresha. Alifahamu fika jiwe ndo chaguo la deep state kama wanavyoita wengine.

Kuna watu ambao walikuwa wakisema jiwe hafai, ambao walitaja mambo kama hayaya udikteta na visasi kuwa yatatokea endapo jiwe atachaguliwa kuwa rais.

Huyu alichofanya ni kilekile, sema inaonyesha alikuwa na uhakika kuwa jiwe ndiye atakayeingia madarakani(maybe alifahamu msimamo wa JK), na kwahiyo akazungumza yale ambayo wengine walihisi pia kuwa yatatokea endapo ni yeye jiwe atapata urais.

Mtu wa karibu sana na jiwe huyu ama deep state.
 
Wamo humu wengi mno.
 
Hata km alikua anajua, ndio 2012 ajue yatakayotokea baada ya 2015, hapana
Kwani inashindikana vipi kujua kinachoendelea ilihali wewe ni mwana-kitengo na huku unajua personalities zao?
Wewe jamaa "nothing is impossible under the sun".
 
Ni kweli dunia hii kila jambo hupangwa na hutokea kwa sababu mfano magufuli alikuja kufanya jambo ambalo lilikuwa limezidi hivi unafikiri hata haya yanayotokea sijui hama HAMA IMEKUJA tu accidentally from nowhere tu, hyo imepangwa vzuri kwa ustadi
inaashiria nini hapo baadae kwenye chaguzi zinazo kuja? kutafuta uungwaji mkono wakati katiba ikifanyiwa marekwbisho kidogo juu ya ukomo wa madaraka? au inaashiria nini HAMAHAMA?
 
Si wanaamua kwa masilahi yao binafsi na interest zao za kibinafsi kwa wanufaika wachache mkuu. Maana upinzani ukizidi hawawezi kufaidi keki ya taifa
inaashiria nini hapo baadae kwenye chaguzi zinazo kuja? kutafuta uungwaji mkono wakati katiba ikifanyiwa marekwbisho kidogo juu ya ukomo wa madaraka? au inaashiria nini HAMAHAMA?
 
Ukisoma huu uzi unawesa sema uliandikwa may 18 2012 ukahaririwa november 2018.
 
Tatizo letu wa Tanzania ni vigeugeu, tunapenda kugeuza kila kitu! Alijuaje kama jpm angekua rais wakati ccm ilikua inataka kubebwa mzobamzoba
 
Yametimia...huyu sasa siyo dikteta tu bali Makamu wa Shetani kama si Shetani mwenyewe...mzinzi, mbadhirifu wa mali ya Umma, mwongo, mchonganishi, mwuaji, mtekaji...Ibilisi 100%
Kiekiekiekiekie, imebidi nicheke kifutuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…